Kuonyesha kuwa hali si shwari ndani ya CCM baadhi ya Makada wake wameanza kukata tamaa kwani wananchi wanahoji Tania ya Mh. MKAPA kutumia matusi kuomba kura badala ya sera
Hali hiyo imewafanya baadhi ya makanda kumtaka aache kutukana kwani wananchi wanakerwa na matusi take ikizingatiwa alikuwa kiongozi wa taifa hili.
Hali hiyo imewafanya baadhi ya makanda kumtaka aache kutukana kwani wananchi wanakerwa na matusi take ikizingatiwa alikuwa kiongozi wa taifa hili.