maganjwa
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 2,806
- 2,349
Wadau amani iwe kwenu,
Hali tete huku Chemba yaani Afisa Taaluma wa wilaya ya Chemba anampigia kampeni shule kwa shule nimecheka sana jamani wanamabadiliko tukomae karibu kunakucha mana jana Magufuli alipita hapa nadhani ndio maagizo, anadai yeye na Magufuli mpaka kufa sina hali nilimdharau sana walimu amkeni huku anasema CCM ni chama kilichowaajiri yaani amewadharau sana walimu.
Habari ndio hiyo
Hali tete huku Chemba yaani Afisa Taaluma wa wilaya ya Chemba anampigia kampeni shule kwa shule nimecheka sana jamani wanamabadiliko tukomae karibu kunakucha mana jana Magufuli alipita hapa nadhani ndio maagizo, anadai yeye na Magufuli mpaka kufa sina hali nilimdharau sana walimu amkeni huku anasema CCM ni chama kilichowaajiri yaani amewadharau sana walimu.
Habari ndio hiyo