CCM Lowassa tukutane hapa

Labda alimaanisha yule Mr Kidevu anayepiga push up wakati makalio kayaweka juuuu,jamaa mmoja hivi utakuwa unamjua alisema Saddam Hussein alikuwa raisi wa Kuwait. Ccm out
Nimecheka mbavu sina !!!! Haha haha haha kwani unaweza kupiga push up makalia yakiwa chini !!!!???
 
Tutawachagua Ukawa ili ccm wawe polisi wazuri wa mali ya umma,watatulindia kwani 2anaujua wizi wote!
 
Sorry kwa picha za hapo juu,Obama anapiga push ups maana mwili wake umenyooka,lakini Mr Kidevu sijui anafanya nini maana makalio kayaweka juuuuuuu
 

Attachments

  • 1443581473457.jpg
    45.2 KB · Views: 243
  • 1443581487170.jpg
    54.7 KB · Views: 237
Cheki alivosambaza miguu!
Anahatari huyu ! Push ups unabana miguu then go straight!
Yeye makalio juu na kasambaza miguu! Duuuuh!
 
Mimi nitaama Ccm rasmi kwny operation ya toroka uje..
 
Utampigia mwenyewe, wenye akili timamu tunampigia Dr.Makuri

Huo utimamu wa akili yako nao ni tatizo! Kwani hata kuandika kwako kunaonesha how Lusinde bin Prof Maji Marefu you are.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…