CCM kuna nini?

CCM kuna nini?

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
10,346
Reaction score
26,138
This is a serious question...I am not joking. Kila mwanachama/kiongozi akizungumza anazungumza kwa tambo zisizo na maana,kejeli,dharau na maneno matupu yasiyo na tija. Anakuwa tofauti na yule wa kabla ya kujiunga CCM.

Nimemuona na kumsikia mdogo wangu Salum Ally Hapi wa CCM aliyekuwa akihojiwa katika kipindi cha Tuongee Asubuhi cha Star TV leo. Hapi amebadilika. Si yule aliyekuwa mjenzi wa hoja UDSM na kuaminika. Hapi alipojiunga UDSM kwa Shahada ya kwanza ya Sheria,alinikuta nipo mwaka wa tatu Kitivoni. Nilimuacha akiwa mwaka wa pili.

S.A.Hapi si yule kabisa. Amefunzwa au kulishwa nini? Na kwanini karibu wote wanafanana uzungumzaji na wanavyovizungumza?

Bwana mdogo Salum Ally Hapi,jirekebishe and kindly mind your words and acts!
 
Kwa bahati nzuri ni kwamba Rais JK amewaambia ukawa kuwa mna ugonjwa wa kutaka kusikia tu yale yanayowafurahisha. Mkiambiwa ukweli mnanuna
 
Kwa kawaida mtu anayezungumza ukweli lazima afanane na mwenzake ambaye anazungumza ukweli ule ule. ila watakaosema kwa kuongopa lazima watatofautiana. Mathalan, ikiwa utaulizwa swali kuwa 1 + 1 ni ngapi? wale watakaosema ukweli hata kama watakuwa milioni watasema kuwa jibu lake ni mbili. Ila kama wataongopa hapo lazima utasikia mwingine anasema moja, mwingine atasema tatu, mwingine sifuri ilimradi kila mtu atatoa jibu analoona linafaa na atautetea uongo wake kuwa ni ukweli. Jaribu kutafakari japo kwa sekunde moja utajua nini namaanisha
 
Chabruma umetoka kapa. Halafu,achia nafasi wengine.Hauko peke yako kuchangia hapa
 
Last edited by a moderator:
Chabruma umetoka kapa. Halafu,achia nafasi wengine.Hauko peke yako kuchangia hapa

Hahahahhhhhh......Haya majamaa bhana, unakuta mtu mmoja kwenye. thread moja tena ukurasa mmoja kachangia zaidi ya mara 7 . Hii ni shida kweli, Haya huyu umemkanya subiri uone ataingia kwa ID nyingine na kuendelea kutoa matapishi yake hii mitoto hii.......!!!!!!!

BACK TANGANYIKA
 
Last edited by a moderator:
Mpwa nimeshakwambia hawawezi kukujibu kitu cha maana hapa, yaani wote kama walivyokuwa wezi basi akili zao zote ziko hivyo hivyo

Kutakuwa na kitu huko.Leo lazima wakitaje
 
Hahahahhhhhh......Haya majamaa bhana, unakuta mtu mmoja kwenye. thread moja tena ukurasa mmoja kachangia zaidi ya mara 7 . Hii ni shida kweli, Haya huyu umemkanya subiri uone ataingia kwa ID nyingine na kuendelea kutoa matapishi yake hii mitoto hii.......!!!!!!!

BACK TANGANYIKA

Wana IDs bandia kama mvua
 
Mkuu, shida yenu ni kwamba mmezoea kukariri. Mtu akiwaletea mawazo mbadala mnamuona yupo tofauti

Mkuu Weston Songoro,mawazo tofauti yanaruhusiwa na kupokewa.Lakini,jinsi ya kuyatoa ndiyo tatizo.Labda nyinyi wanachama wa vyama vya siasa nchini mnajuana.Mdogo wangu Salum Ally Hapi amenisikitisha sana leo kupitia Star TV
 
Last edited by a moderator:
akili zao zinakuwa zimeshaharibika, hasa uwezo wa kufikiri, subiri utawaona wengi sana wenye matatizo hayo huko tunakoelekea.
 
Mkuu Weston Songoro,mawazo tofauti yanaruhusiwa na kupokewa.Lakini,jinsi ya kuyatoa ndiyo tatizo.Labda nyinyi wanachama wa vyama vya siasa nchini mnajuana.Mdogo wangu Salum Ally Hapi amenisikitisha sana leo kupitia Star TV

Mkuu Wewe ndo umeleta Mada, achia na wengine wachangie, hauko peke yako hapa!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Wewe ndo umeleta Mada, achia na wengine wachangie, hauko peke yako hapa!

Mkuu Job K,mwenye mada ana haki ya kujibu hoja zinazoibuliwa na wachangiaji. Mimi si kama wengine wanaoweka mada halafu wanakimbia. I defend my topic....it is my absolute right
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom