Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,859
Wengi mtakuwa mnajiuliza kwanini CCM walipiga kura za kukomoana jana kwa Wenje na Masha. Kubwa ninaloliona hapa ni visasi, vitisho kwa wana CCM wengine wenye nia ya kufanya siasa nje ya CCM na chuki za kijinga.
Pia ufinyu wa akili zao wamemkomoa Masha kwa sababu alihama chama wakati wa uchaguzi. Wanachosahau nafasi zile ni za CDM tu hata aridhi ipasuke. Walichosahau kingine Wenje na Masha wanaenda kuiwakilisha nchi na sio CDM au CCM wote pamoja na wale wa CCM baada ya kuchaguliwa ajenda yao kubwa inabaki ni nchi sio vyama.Nina wahasa chuki hazijengi ziku zote zinabomoa.
Wenje,Huyu walimkataa kwa kinyongo, Mtakumbuka amekuwa mwiba kwa CCM muda wote na ilifikia wakadhamiria yeye na Kafulila watawafuta kwenye siasa za nchi kwa gharama yoyote. Leo wametekeleza kisasi mbele ya kamera na macho ya watanzania bila aibu. Cha kusikitisha zaidi baada ya uhasi huu kwa taifa. Kesho CCM hao hao wakiongozwa na spika utawasikia wakisema tuweke utaifa mbele na uzalendo na si vyama vyetu.Utawasikia wakisema si kila jambo ziingizwe siasa, unafiki mkubwa.
Kwa hali hii kama taifa.Viwanda na uchumi wa kati tutabaki kusoma kwenye magazeti ya Kenya na Rwanda tu.Huku sisi tukirudi enzi za kikoloni na kujiona bado tuna uhuru wa kifikra na kiuchumi.
Pia ufinyu wa akili zao wamemkomoa Masha kwa sababu alihama chama wakati wa uchaguzi. Wanachosahau nafasi zile ni za CDM tu hata aridhi ipasuke. Walichosahau kingine Wenje na Masha wanaenda kuiwakilisha nchi na sio CDM au CCM wote pamoja na wale wa CCM baada ya kuchaguliwa ajenda yao kubwa inabaki ni nchi sio vyama.Nina wahasa chuki hazijengi ziku zote zinabomoa.
Wenje,Huyu walimkataa kwa kinyongo, Mtakumbuka amekuwa mwiba kwa CCM muda wote na ilifikia wakadhamiria yeye na Kafulila watawafuta kwenye siasa za nchi kwa gharama yoyote. Leo wametekeleza kisasi mbele ya kamera na macho ya watanzania bila aibu. Cha kusikitisha zaidi baada ya uhasi huu kwa taifa. Kesho CCM hao hao wakiongozwa na spika utawasikia wakisema tuweke utaifa mbele na uzalendo na si vyama vyetu.Utawasikia wakisema si kila jambo ziingizwe siasa, unafiki mkubwa.
Kwa hali hii kama taifa.Viwanda na uchumi wa kati tutabaki kusoma kwenye magazeti ya Kenya na Rwanda tu.Huku sisi tukirudi enzi za kikoloni na kujiona bado tuna uhuru wa kifikra na kiuchumi.