CCM Wanayataka machafuko haswa!!!!
Manake ktk Jimbo la Nyamagana Mwanza (anakogombea Masha), polisi walitembeza mabomu ya machozi kwenye mkutano wa chadema uliofanyika kata ya Buhongwa juzi (nadhani kwa maelekezo ya waziri fulani),
The next day (jana) mkutano wa chadema (Wenje) ktk eneo la Bulale watu walikua waoga kuhudhulia mpaka elimu ya kutosha kwa vipaza sauti ilipotolewa (kwamba polisi ni wenzetu/wanetu wanaopigika/maskini kama sisi - tusiwaogope) - MKUTANO ULIFANA.
Hatudanganyiki na vitisho vya mafisadi.
GO CHADEMA GO!!!!! mpaka kieleweke.