vous
JF-Expert Member
- Dec 15, 2017
- 657
- 649
Vizuri sanaCCM ina mpango wa kujenga chuo kikuu ili kuhakikisha makada na wananchi kwa ujumla kupata elimu.
Maana kuna vyama vingine hata ofisi yw chama kitaifa n mtihan
Vizuri sanaCCM ina mpango wa kujenga chuo kikuu ili kuhakikisha makada na wananchi kwa ujumla kupata elimu.
Nkuu wa Chuo (Chansellor) atakuwa Pro Pesa mwenye kufwata Nkumbo, Pro Pesa Bansen Bana atakuwa VC.... Yu Sufu Ma Ropes atakuwa DVC-Proper Ganda, Mkuu Chika atakuwa DVC-Kusanya rasil Mali Watu, na wakuu wa vitivo watakuwa: Gaumbo, Bashnet, Makaa Lala, Jouni Mong' Laa, Mwenye Nyeti na Ole Sendekwa.Polepole na Le Mutuz ndiyo watakua academicians
Na kwenye matawi/mashina na magogo yooote ya Kyama Inji nzima!Watakaosoma hicho chuo wana hasara labda wataajiriwa wote pale Lumumba
CCM ina mpango wa kujenga chuo kikuu ili kuhakikisha makada na wananchi kwa ujumla kupata elimu.
nani kakwambia zimewashinda?
Hahahaha wahadhiri wenyewe watakuwa Dr Bashir Ally na Dr Bana?!!!!CCM ina mpango wa kujenga chuo kikuu ili kuhakikisha makada na wananchi kwa ujumla kupata elimu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Chuo Kikuu cha kufundisha watu uongo? Kwa maana ndo kazi pekee iliyobaki huko Lumumba. Ni UONGO, UONGO, UONGO!
Hapana aisee tukiwapa nchi Chadema hatutajuta coz hata hawa tuliowakabidhi nchi kwa muda huu wametupiga 1.5 trilioni lakini hatuoneshi kujuta.Chadema ofisi tu ya makao makuu ya chama wameshindwa, eti hawa tulogwe tuwakabidhi nchi, tutajuta
Angalau wanavyo.siye hata redio hatuhitaji sijui!Vishule vya jumuiya sijui ya wazazi vinawashinda ndio itakuwa university? Acha mzaha ndugu.
Safi makada wanapaswa kupikwa wapikike kwa mustakabali wa chama na nchi kwa ujumla wake.CCM ina mpango wa kujenga chuo kikuu ili kuhakikisha makada na wananchi kwa ujumla kupata elimu.
Hicho kitakuwa ni kiwanda cha mazwazwa first class kama jingalao.CCM ina mpango wa kujenga chuo kikuu ili kuhakikisha makada na wananchi kwa ujumla kupata elimu.