mgeni wenu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 3,664
- 1,730
Wana JF leo chama cha Mapinduzi CCM kitafanya mkutano wake katika Kata ya Kikatiti na kunadi Sera zake,
Leo asb katikawanja hicho hicho CHADEMA wamefanya mkutano wao Mkubwa na Kuondoka,nimebaki hapa kuendelea kupata nakutoa Taarifa
Ni mimi Mgosi,Mgeni wenu kutoka JF
Leo asb katikawanja hicho hicho CHADEMA wamefanya mkutano wao Mkubwa na Kuondoka,nimebaki hapa kuendelea kupata nakutoa Taarifa
Ni mimi Mgosi,Mgeni wenu kutoka JF