CCM walikuwepo Arusha tangu kuanzishwa chama na waliongoza muda mrefu. Waliborongwa, wakachokwa, wakakataliwa, wakalazimisha umeya, wakatumia vitisho na kuua ili wadhoofishe wapinzani, wakaharibu zaidi.
Waje wakiwa na mpango mpya, waje wakiwa na mapya ya kuwaeleza wananchi.
Wajue kuwa, mtu aliyekupenda akisema basi, inakuwa vigumu kumrudisha!
"What anger worse or slower to abate then lovers love when it turns to hate."