spencer
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 3,599
- 3,220
Watu wa Pwani tutawasaidia kuamua.
Kanda ya ziwa haitarudi nyuma, Kama CDM imefika Simanjiro na Ngorongoro sasa wajificha wapi.
Leo hii diwani mwingine CCM Sengerema kahama na kujiunga CDM kinachofuata ni wabunge wasafi kuhamia chadema.
CCM itakufa kabla ya 2015 believe me!!!!!!!!!!!!
Kesho ngoja Pinda apigwe chini
Kanda ya ziwa haitarudi nyuma, Kama CDM imefika Simanjiro na Ngorongoro sasa wajificha wapi.
Leo hii diwani mwingine CCM Sengerema kahama na kujiunga CDM kinachofuata ni wabunge wasafi kuhamia chadema.
CCM itakufa kabla ya 2015 believe me!!!!!!!!!!!!
Kesho ngoja Pinda apigwe chini