Ng'wamapalala
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 6,811
- 6,506
Kwani huyu Lowassa siyo CCM?.Wakuu salama
Kwa hali inavyo onekana ccm wamebanwa kwenye kona hawajui pa kupumulia,ni muda sasa tokea mazingaombwe yaanze kupambana na lowassa na lowassa mwenyew ameonyesha kujiamini kupita kiasi
Kitendo cha ccm kumtumia Mtikila kumponda lowassa hii dalili tosha kabsa kwamba ccm wamezidiwa mpaka wameamuwa kutumia upinzani hii dalili ya ccm kufa kifo kisichotegemewa,ngoja tuone vumbi likitimka dodoma
Kwani huyu Lowassa anapambana na CCM, kwa maana nyingine, anapambana na wanachama wote wa CCM?
Mimi sikufahamu kama Lowassa anapambana na CCM!