Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,436
- 5,230
Mchujo wa majina ya wagombea wa nafasi za udiwani, ubunge na uwakilishi kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) unaendelea kote nchini.
Taarifa zinaeleza kuwa huenda majina matatu ya wagombea yakaanza kurejeshwa kuanzia kesho, kufuatia kukamilika kwa kazi ya kuyapitia na kujadili sifa za kila mgombea.
Baada ya hatua hiyo, wagombea hao watapigiwa kura za maoni na wajumbe wa chama katika maeneo yao, ikiwa ni sehemu ya mchakato wa uteuzi wa mwisho kuelekea uchaguzi mkuu ujao.
Taarifa zinaeleza kuwa huenda majina matatu ya wagombea yakaanza kurejeshwa kuanzia kesho, kufuatia kukamilika kwa kazi ya kuyapitia na kujadili sifa za kila mgombea.
Baada ya hatua hiyo, wagombea hao watapigiwa kura za maoni na wajumbe wa chama katika maeneo yao, ikiwa ni sehemu ya mchakato wa uteuzi wa mwisho kuelekea uchaguzi mkuu ujao.