HABAR NJEMA WAZANZIBARI...............
MUDA WOWOTE KUANZIA SASA MAALIM SEIF SHARRIF HAMAD ANATANGAZWA KUWA RAIS WA ZANZIBAR KAMATI KUU YA CCM IMESHAKUBALI DK SHEIN AMESHAKUBALI KUSAIN JAPO KWA MSHIKE MSHIKE CHINI YA USIMAMIZI MKUBWA WA UMOJA WA MATAIFA HIVYO MUDA WOWOTE MAMBO YANAAZA KUWA MAMBO ZNZ HATIMAYE WAZANZIBARI TUNAANZA KUUONA UHURU......Hizi habar ni za uhakika asilimia mia moja...
PONGEZI sana Wazanzibar…sisi huku bado tunapiganiaHABAR NJEMA WAZANZIBARI...............
MUDA WOWOTE KUANZIA SASA MAALIM SEIF SHARRIF HAMAD ANATANGAZWA KUWA RAIS WA ZANZIBAR KAMATI KUU YA CCM IMESHAKUBALI DK SHEIN AMESHAKUBALI KUSAIN JAPO KWA MSHIKE MSHIKE CHINI YA USIMAMIZI MKUBWA WA UMOJA WA MATAIFA HIVYO MUDA WOWOTE MAMBO YANAAZA KUWA MAMBO ZNZ HATIMAYE WAZANZIBARI TUNAANZA KUUONA UHURU......Hizi habar ni za uhakika asilimia mia moja...
Ndio maana hawataki kutangaza kwa sababu hio, bara kutaripuka vibaya.
HABAR NJEMA WAZANZIBARI...............
MUDA WOWOTE KUANZIA SASA MAALIM SEIF SHARRIF HAMAD ANATANGAZWA KUWA RAIS WA ZANZIBAR KAMATI KUU YA CCM IMESHAKUBALI DK SHEIN AMESHAKUBALI KUSAIN JAPO KWA MSHIKE MSHIKE CHINI YA USIMAMIZI MKUBWA WA UMOJA WA MATAIFA HIVYO MUDA WOWOTE MAMBO YANAAZA KUWA MAMBO ZNZ HATIMAYE WAZANZIBARI TUNAANZA KUUONA UHURU......Hizi habar ni za uhakika asilimia mia moja...
Ndugu zangu Wazanzibar nina cheti cha kuzaliwa Zanzibar, taratibu za kupata cheti cha uraia wa huko kiko vipi maana huku bara watu maboya kibao.
Uraia mtanzania, uzanzibar nenda kwa sheha kachukue barua, nenda nayo office ya utowaji vipande vya uzanzibar, inategemea mkowa upi unatoka
Hata mimi nina mpango wa kuhamia kule Maalim akitangazwa,bora nikauze juice ya miwa Zenji kuliko hii kazi yangu Bara.ntahamia zenji huku bala manyoya mengi
Ukiwa tayari sema, subiri uchaguzi umalize
HABAR NJEMA WAZANZIBARI...............
MUDA WOWOTE KUANZIA SASA MAALIM SEIF SHARRIF HAMAD ANATANGAZWA KUWA RAIS WA ZANZIBAR KAMATI KUU YA CCM IMESHAKUBALI DK SHEIN AMESHAKUBALI KUSAIN JAPO KWA MSHIKE MSHIKE CHINI YA USIMAMIZI MKUBWA WA UMOJA WA MATAIFA HIVYO MUDA WOWOTE MAMBO YANAAZA KUWA MAMBO ZNZ HATIMAYE WAZANZIBARI TUNAANZA KUUONA UHURU......Hizi habar ni za uhakika asilimia mia moja...
Hata mimi nina mpango wa kuhamia kule Maalim akitangazwa,bora nikauze juice ya miwa Zenji kuliko hii kazi yangu Bara.
Hahahaaaa Kisonge napafahamu sana (miaka minane siko Zenj) ukiwa unatoka Darajani wapo mkono wa kulia!! Wachumia tumbo na masofa yao nje muda wote kuandaa makundi ya vijana kuwapiga wafuasi wa CUF.
Mkuu umefanya watu wanione kama fyatu kwa jinsi ulivyo nivunja mbavu