CCM kazi wanayo mwaka huu..

CCM kazi wanayo mwaka huu..

Jozzee Baraza

Member
Joined
Jul 29, 2015
Posts
5
Reaction score
4
ALIYEKUWA MKUU WA IDARA YA SHERIA TANESCO (ALIYEONDOLEWA KWA SABABU YA KUANDIKA RIPOTI YA KWELI KUHUSU KAMPUNI HEWA KTK UTAPELI WA ESCROW) GODWIN NGWILIMI (SIMBA) AMESHINDA KURA ZA MAONI JIMBO LA BARIADI - CHADEMA

Matokeo:

12. Rivatus Masanja kura 1
11. Abeli mlingwa kura 3
10. Emmanueli Mark - kura 4
09. Sweya makungu kura 7
08. Manyangu - kura 8
07. Silanga kimola kura 10
06. Sita mlomo kura 12
05. Maendeleo - kura 35
04. Wilson Mshuda kura 45,
03. Zakaria shigukulu kura 47
02. Wilsoni ntemi kuta 53
01. Godwin simba kura 410
 
Hongera sana, mabadiliko yanaonekana dhahiri kabisa
 
Yani labda wafanye wizi kama walivyozoea ila zoezi linaloendelea hivi sasa la kusajili watu linanihofisha sana maana huku kwenye kata yangu wanamsajili mtu kwa kuangalia sura bila hata ya kufwata viambatanishi kama cheti cha kuzaliwa! Ninamashaka na mfumo huu wa uchaguzi. Naona kwa njia ya kidiplomasia ni ngumu kupata mabadiliko endapo wkt huu wakifanikiwa tena


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
wa puuzi hawa mi siwataki hata kuwa sikia wana tumia makalio kufikiri.mf mzungu alipo kuja na wazo la kufungua makapuni ya simu.wange mpa subira then wange iba hilo wazo fine minara ili kuwepo ya RTD .wangeanzisha mtandao wa simu mf TANZATELL .kila mtanzania angelipia 3000 kwa mwezi mfano gharama ya mawasiliano,watanzania tuko milioni 40na fanya watumiaji wa simu 30milioni.serikari inge kusanya kodi ya cm tu.sh ngap? da ccm mi siwataki ndo wame asisi umaskini wa taifa hili.
 
Orodha za Ufisadi CCM kwa Ufupi tu.
TTTCL kuuzwa kwa bei ya kutupa ni Mwandosya Fisadi. Kuingia mitini na Pesa za Tanzania alizotoa Gadaffi ni Membe Fisadi. Bilioni 250 zilizolipwa Wakandarasi hewa wa ujenzi wa Barabara ni Magufuli Fisadi. Mabilioni ya STIMULUS PACKAGE ya Pamba ni Kikwete. Mkataba mbovu wa Madini Buzwagi ni Kikwete Fisadi. Kuuzwa kwa kutupwa kwa Benki ya NBC ni Sumaye Fisadi. kuidhinisha fedha za EPA Benki Kuu zichukuliwe na Mafisadi ni Mangula. kuuzwa kwa vijiji vya Loliondo na Wanyama hai arabuni ni Kinana Fisadi. Wizi wa Fedha za mradi wa Malaria ni January Makamba Fisadi. Ufisadi ununuzi Jumba la Ubalozi wa Tanzania Italia ni Kikwete na Mahalu Mafisadi. Ununuzi wa Mabehewa feki za second hand huku wakichota pesa za mpya ni Mwakyembe Fisadi. Ufisadi mradi wa Pembejeo za Kilimo ni Pinda na Wasira Mafisadi. ESCROW ACCOUNT ya uchotaji pesa Benki Kuu ni Kikwete Fisadi.
Sasa imetosha, Ccm ama kweli ina maana CHAMA CHA MAFISADI.
chukua hatua, tuma kwa wengine.
 
Hongera zake bwana Godwin Simba ila cha ajabu cdm wanaingiza mseto, mafisadi na wasafi, sielewi mwenendo wa chama chetu kinavyokwenda kwa kweli,,
 
Back
Top Bottom