mwakajilae
Member
- Mar 11, 2011
- 58
- 46
Ndugu Watanzania ni vizuri tukafuatilia kwa Umakini mkubwa uchaguzi unaoendelea ndani ya Chama Cha Mapinduzi[CCM] kwasababu kwa mujibu wa Katiba ni chama kilicho na ridhaa ya kuwaongoza Watanzania,japo kinatawala baadala ya Kuongoza.
Uchaguzi ndani ya CCM unaishara kubwa za Rushwa,madhara yake ni kuzidi kushamiri kwa ufisadi ndani ya Serikali yake,kwani aliyeingia kwa Rushwa,hawezi kushindwa kuihujumu nchi na Taifa,matokeo yake ni jamii ,nchi na Taifa kuendelea kuto tawalika.
Pia kuna mikoa hapa nchini inaongoza kwa kuwa na Utajiri mkubwa wa raslimali,ni mikoa ambayo vigogo wakubwa wanaishi,makampuni makubwa yamewekeza,lakini huduma za kijamii ni kama ahela!!! hii nini maana yake?
Angalia Hospitali ya Mwananyamala katika Mkoa wa kinondoni!!
Angalia tatizo la Maji kimara na Makampuni ya Simu na Vigogo!!
Sakata la IPTL-Makubwa yanaibuka.
Fuatilia Jarida hili linalotolewa na Integrity Watch,asasi ya Jamii inayochunguza masuala mbali mbali ya Rushwa,Utawala bora na Uwajibikaji.
Karibu tujadili huku ukisoma jarida hili ninalo liambatanisha.
Uchaguzi ndani ya CCM unaishara kubwa za Rushwa,madhara yake ni kuzidi kushamiri kwa ufisadi ndani ya Serikali yake,kwani aliyeingia kwa Rushwa,hawezi kushindwa kuihujumu nchi na Taifa,matokeo yake ni jamii ,nchi na Taifa kuendelea kuto tawalika.
Pia kuna mikoa hapa nchini inaongoza kwa kuwa na Utajiri mkubwa wa raslimali,ni mikoa ambayo vigogo wakubwa wanaishi,makampuni makubwa yamewekeza,lakini huduma za kijamii ni kama ahela!!! hii nini maana yake?
Angalia Hospitali ya Mwananyamala katika Mkoa wa kinondoni!!
Angalia tatizo la Maji kimara na Makampuni ya Simu na Vigogo!!
Sakata la IPTL-Makubwa yanaibuka.
Fuatilia Jarida hili linalotolewa na Integrity Watch,asasi ya Jamii inayochunguza masuala mbali mbali ya Rushwa,Utawala bora na Uwajibikaji.
Karibu tujadili huku ukisoma jarida hili ninalo liambatanisha.