Katika maeneo yaliyo na maji, mfano bahari na ziwa, kuna samaki wakubwa na samaki wadogo(dagaa), na samaki wakubwa siku zote huwaonea samaki wadogo kwa vitendo vya kuwameza. Kwa hiyo visamaki vidogo havina haki mbele ya samaki wakubwa.
Hali hiyo ni sawa na ile inayotumiwa na chama makini cha CCM kwa maana CCM kama samaki mkubwa humeza vile visamaki vidogo(vyama vya upinzani). Kila samaki mdogo anapoonekana kuelekea kuwa samaki mkubwa, samaki mkubwa anamuwahi kwa kummeza.
Na ndiyo maana hata miaka 10,000 ipite hakuna chama cha upinzani kitakachochukua dola.
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.
CCM OYEEEEEEEEEEE.
Hali hiyo ni sawa na ile inayotumiwa na chama makini cha CCM kwa maana CCM kama samaki mkubwa humeza vile visamaki vidogo(vyama vya upinzani). Kila samaki mdogo anapoonekana kuelekea kuwa samaki mkubwa, samaki mkubwa anamuwahi kwa kummeza.
Na ndiyo maana hata miaka 10,000 ipite hakuna chama cha upinzani kitakachochukua dola.
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.
CCM OYEEEEEEEEEEE.