Travelogue_tz
JF-Expert Member
- Sep 28, 2010
- 855
- 1,224
Makada 3 wa chama cha mapinduzi ambao walifungua kesi ya kupinga ubunge wa lema, na hata baada ya lema kushinda rufaa yake makada hao waaminifu walikata tena rufaa wanakabiliwa na kibarua kigumu cha kulipa gharama za kesi.
Kwa mujibu wa vyanzo vya habari takribani milioni 300 zinapaswa kulipwa. Ni wazi kuwa itakuwa ni jambo gumu kwa makada hawa ambao walitumwa na wakakubali kutumika.
Ni vema sasa CCM kuwalipia fedha hizo ili kuwanusuru na lindi la umasikini.
Kwa mujibu wa vyanzo vya habari takribani milioni 300 zinapaswa kulipwa. Ni wazi kuwa itakuwa ni jambo gumu kwa makada hawa ambao walitumwa na wakakubali kutumika.
Ni vema sasa CCM kuwalipia fedha hizo ili kuwanusuru na lindi la umasikini.