tulizoea kuwaona wakati ule nccr na tlp wakiwa na migogoro.walikuwa manabishana kutumia vyombo vya habari. leo migogoro imehamia ccm. nimecheka hapa naangalia tbc uvccm huko tabora wanabishana. kundi moja linasema walifanya kikao kilichomvua ulezi sitta wengine akiwemo katibu wa mkoa ambaye ni mjumbe wa baraza kuu anasema hakualikwa. kweli ccm imedorora,