CCM itatawala nchi kwa karne nzima

Ya ZANU PF na ANC yaweza tokea CCM. Iko wapi KANU,UNIP na MCP? Wana CCM wenyewe wakichoka mfumo wao wa kutawala wataji transform na kuji transfigure wenyewe.
 
Viongozi wengi wa siasa wajinga sana hasa Chadema,
haiwezekani mtu umuite fisadi arafu baade uje kumpa nafasi ya kupeperusha bendera tena kwenye nafasi ya Uraisi.

Huu ujinga ulivunja record.
 
NDUGU MEXENE MELLO et al.,
Naomba mnipige ban ya miaka miwili mpaka 2020.siwezi kuendelea kusoma maoni ya / comment ya wana Lumumba wapumbafu na machoko.
Ila endeleeni kushangilia, wakati bado unakuja .Magufuri kaweka vyombo vya habari kwapani, mahakama kwapani, jeshi la polisi kwani, bunge kwapani,shughuli za kisiasa na democrasia kwapani, taasisi za kidini kwapani nadhani uchunguzi kakobe mmeusikia. Shangilieni ,imbeni mtakavyo weza, tukaneni vyama pinzani mtakavyo weza, nunueni madiwani na wabunge mtakavyo weza ,ueni upinzani kadiri nguvu zenu zitakavyo weza.Ule mwisho badoo, Magufuri akianza kuuwa watu wake ndani ya ccm akihisi wanamuhujumu na wengine ndani ya chama chake , ndipo ule wakati uliotabiriwa utakuwa umewadia. Mtatafuta pa kukimbilia mtakosa, mtalia na kusaga meno ,mtaomboleza lakini hamtaona msaada wala hakuta kuwa na kimbilio. Endeleeni kushangilia, endeleeni kusifia.....siku zaja.
 
Viongozi wengi wa siasa wajinga sana hasa Chadema,
haiwezekani mtu umuite fisadi arafu baade uje kumpa nafasi ya kupeperusha bendera tena kwenye nafasi ya Uraisi.

Huu ujinga ulivunja record.
Umenena kweli mkuu. Halafu mtu huyohuyo anakuja mtandaoni kuwalalamikia watanzania eti hawajitambui. Siwezi kukubali kugeuzwa Msukule wa kukubalili kila kinachotoka kwenye vinywa vya watu hawa.
 
Huo ndio ukweli.
 
Ujinga ni "package" mkuu, unajumuisha au kuambatana na matakataka mengi sana ndani yake ukiwamo huo uoga, umasikini, maradhi na mengineyo
Ukosawa mkuu! Nimekuelewa vizuri sana. Ujinga ni package
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…