stuartkifua
Member
- Apr 19, 2014
- 62
- 5
Ni wazi na ukweli uliopo kuwa uchaguzi huu chama cha mapinduzi kitashinda kwa urahis sana kuliko miaka yote na hii ni kutokana na watanzania wengi kuendelea kuwa na imani na chama hiki ingawa kama ni mgeni kwenye sisa ndo unaweza ukahemka
Kwanza vijana wengi mbali na ushabiki wengi hawatapiga kura
Pili na hata wakipiga watampigia Magufuli
Tatu wengi wa watanzania na hao vijana wanaojiita wana mabadiliko wana kadi mbili mbili za vyama na hii inaonyesha wana imani bado na chama tawala yaani CCM
Nne Mgombea wa Chama Tawala ana nguvu na ushawishi kwa watanzania wa aina zote
Kwanza vijana wengi mbali na ushabiki wengi hawatapiga kura
Pili na hata wakipiga watampigia Magufuli
Tatu wengi wa watanzania na hao vijana wanaojiita wana mabadiliko wana kadi mbili mbili za vyama na hii inaonyesha wana imani bado na chama tawala yaani CCM
Nne Mgombea wa Chama Tawala ana nguvu na ushawishi kwa watanzania wa aina zote