Zombi Mweusi
JF-Expert Member
- Feb 9, 2017
- 1,077
- 2,164
Ukubali ukatae kila mtu uwe mfia chama usiwe mfia chama CCM itakufikia kwa matendo yake maovu
Rejea; kipindi cha Magufuli hadi Riziwani alitaka kukipata cha moto.
Wakati huo Ndugai alikuwa hagusiki saizi Ndugai hata kukohoa hawezi.
Nawakumbusha tu CCM Hana rafiki wa kudumu ushishangae hata huyu Jordan anaetapanya mali zetu kuna muda utafika atatamani katiba mpya
Rejea; kipindi cha Magufuli hadi Riziwani alitaka kukipata cha moto.
Wakati huo Ndugai alikuwa hagusiki saizi Ndugai hata kukohoa hawezi.
Nawakumbusha tu CCM Hana rafiki wa kudumu ushishangae hata huyu Jordan anaetapanya mali zetu kuna muda utafika atatamani katiba mpya