Eng. Y. Bihagaze
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 1,488
- 908
- Thread starter
- #21
Pana ombwe kubwa sana juu ya sintofaham Za Muunganiko huu.. Nadhani ni wakati wa kuweka mjadala Wa kitaifa tuamue ni kekundu au cheusi ndipo masuala ya KATIBA yaendeleeMuungano sio lazima.