CCM inakufa natural death

CCM inakufa natural death

congobe

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2012
Posts
561
Reaction score
131
CCM kuwa kama NCCR, CHADEMA nk, ikiwa tu ni kweli wafadhili wanufaika na chama wakwepa kodi wakianza kulipa kodi zetu effectively, hawatakuwa na sababu ya kuchangia chamani kwani HAPA KAZI TU hakuna kubebana.
 
Ccm kuwa kama nccr , chauma, chadema nk
Ikiwa tu ni kweli wafadhili wanufaika na chama wakwepa Kodi wakianza kulipa Kodi zetu effectively , hawatakuwa na sababu ya kuchangia chamani kwani HAPA KAZI TU
hakuna kubebana
Maana

We kweli juha. Ivi unajua vizuri vyanzo vya pesa vya CCM?
 
All TRUTH

Wewe ndio hujui kitu. ...wakwepa kodi wote nchini Tanzania ni wanachama wa ccm, na ndio wafadhili wakubwa hasa kipindi cha uchaguzi. ..

Mmoja ya mfadhili wa ccm ambae ni mfanya biashara wa mafuta, kipindi cha uchaguzi alikuwa akitoa 100 mil kila wiki. ...akaelemewa na akalazimika kubadili namba ya simu, na akahamishia ofisi zake Kigamboni. ...

Sasa huyo malipo yake ni kutokulipa kodi. ..na hawa ni moja ya vyanzo vya mapato vya ccm. ..usikae kwa ushabiki wa kipuuzi
 
Last edited by a moderator:
All TRUTH

Huo ndio ukweli unaouma.Vyanzo vikubwa vya mapato ya CCM ni Michango isiyo rasmi ya Wafanyabiashara haramu na wale wauza madawa ya kulevya pamoja na Wakwepa kodi mashuhuri.CCM haiwezi kusumbua na ushuru wa Viwanja vya Mpira ama vyumba vya maduka kwenye viwanja hivyo.Amini!!
 
Last edited by a moderator:
We kweli juha. Ivi unajua vizuri vyanzo vya pesa vya CCM?


Ufisadi,Rushwa,Wakwepa kodi,Wauza unga,Meno ya Tembo na wote watendao jinai ndiyo wafadhiri wakuu wa FISIEM.Mkiwabana hao tu,FISIEM imekwisha na hata posho ya buku 7 inayokuweka mjini itasitishwa na kukulazimu kurudi kijijini kwenu Mchambawima kuvua uduvi.Acha muisome namba sasa.
 
Vitaje
Kwanza alafu utuambie zitatosha pesa maana ni wapi ga deal wote
Kuanzia Balozi nyumba 10 waambie watusomee mapato na natumizi ya kijiji uone sarakasi na video wafadhili wakubwa hawatafadhili chama
pesa itatoka wapi wakati campaign tumekula hadi Hazina , sababu pesa tulikula wenyewe
wakati wa kofia 2 RAIS/M/kiti wa chama
Hapa kazi tu tutapata wapi pesa kama si Ruzuku
 
Wakibanwa vilivyo kulipa kodi mambo yatakuwa sawa,maana pesa za kampeni wao ndio wanatoa kwa makubaliano ya kutokulipa kodi
 
Wewe ndio hujui kitu. ...wakwepa kodi wote nchini Tanzania ni wanachama wa ccm, na ndio wafadhili wakubwa hasa kipindi cha uchaguzi. ..

Mmoja ya mfadhili wa ccm ambae ni mfanya biashara wa mafuta, kipindi cha uchaguzi alikuwa akitoa 100 mil kila wiki. ...akaelemewa na akalazimika kubadili namba ya simu, na akahamishia ofisi zake Kigamboni. ...

Sasa huyo malipo yake ni kutokulipa kodi. ..na hawa ni moja ya vyanzo vya mapato vya ccm. ..usikae kwa ushabiki wa kipuuzi




Ukiona mtu anajitoa ufahamu ujue anaisoma number
Ama ndugu yake alikuwa pande za ugambani sasa amekatwa , akili bado haija settle down maana Hapa kazi tu
 
CCM tuna falsafa ya ujamaa na kujitegemea. Hicho kipande cha kujitegemea hakijawekwa bahati mbaya hapo kina maana kuwa, CCM sio chama cha kuendeshwa kwa kufadhiliwa na watu au kikundi cha watu ikiwemo hao uliowaita wakwepaji wa kodi. Badala yake chama kama chama kina miradi yake ikiwemo majengo ya kupangisha, makampuni yanayofanya shughuli mbalimbali ikiwemo kutoa huduma nk na hivyo ndivyo vyanzo vikuu vya mapato ya chama.

Vilevile, kwa kiasi fulani chama pia kinaendeshwa kwa ruzuku kutoka serikalini kwa mujibu wa sheria na pia bado tupo wazalendo wapenda CCM yetu na tupo tayari kuchangia chama chetu kwa hali na mali bila ya kutegemea malipo yoyote huko mbeleni.
 
Ccm kuwa kama nccr , chauma, chadema nk
Ikiwa tu ni kweli wafadhili wanufaika na chama wakwepa Kodi wakianza kulipa Kodi zetu effectively , hawatakuwa na sababu ya kuchangia chamani kwani HAPA KAZI TU
hakuna kubebana
Maana
Nadhani upo kwenye siku zako,pole sana.
 
All TRUTH

Wewe ndio hujui kitu. ...wakwepa kodi wote nchini Tanzania ni wanachama wa ccm, na ndio wafadhili wakubwa hasa kipindi cha uchaguzi. ..

Mmoja ya mfadhili wa ccm ambae ni mfanya biashara wa mafuta, kipindi cha uchaguzi alikuwa akitoa 100 mil kila wiki. ...akaelemewa na akalazimika kubadili namba ya simu, na akahamishia ofisi zake Kigamboni. ...

Sasa huyo malipo yake ni kutokulipa kodi. ..na hawa ni moja ya vyanzo vya mapato vya ccm. ..usikae kwa ushabiki wa kipuuzi

Nafikiri ni vizuri kujiuliza kwanza ni kwa nini CCM hutumia fedha nyingi wakati wa kampeni. Jibu moja kati ua mengi ni kuwa huwa wananunua wananchi kwa fedha kwa kuwa wanajua hawajafanya kitu chochote kwa watanZania. Sasa kwa speed na spirit hii tunayoenda nayo kama itaendelea hivi CCM itakuwa imara sana hata wasipopiga kampeni watashinda tu.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom