CCM inakaribia kufa?

Ccm ilishakufa na ilishakataliwa na watz.....2015 wamepokonywa cuf ushindi wao mchana kweupe wkt huku bara tulipigwa bao la mkono....
Saaizi mpango ni kutumia majeshi na kutisha bunge na mahakama wasitende haki.....
BAYA ZAIDI KWA SS CHENJI ZA BOMBERDIER, CHATO, MABWENI NDO ZINATUMIKA KUNUNULIA WANASIASA WA UPINZANI KWA GHARAMA YOTOTE
 
Naona bado yale machungu ya kipigo cha mbwa mwizi bado yanaendelea.
 
Umenena Mkuu.

These are the last symptoms of the dyeing Horse....

Ni suala tu la kaandaa kutoa last respects.....
 
Mimi toka 2015 wakati wa mchakato mgombea uraisi haya maneno nilisikia kuwa kitazikwa rasmi baada ya mfadhili wake mkuu kukihama
Lakini inakua ndivo sivo
 
mleta mada na mnaoiombea com mauti mtambue kuwa mtakufa nyie ccm mtaiacha iko hai inatawala milele.
 
Kipigo cha uchaguzi wa udiwani naona kimewachanganya hasa munaweweseka hasa.
Kipigo kipi cha uchaguzi??

Hivi unaweza kuita ule nao ulikuwa uchaguzi?

Hivi inawezekanaje "kumnyofoa" wakala wa upinzani na ukaita huo nao uchaguzi??

Ndiyo maana tunasema siku Jeshi la Polisi likiamua kufanya shughuli zake kwa weledi, basi CCM hawawezi kusurvive hata kwa siku 2 madarakani!
 
mleta mada na mnaoiombea com mauti mtambue kuwa mtakufa nyie ccm mtaiacha iko hai inatawala milele.
Hahaahaaa.....😀😀

Haya Bwana wewe ndiye Israel mtoa roho za watu.....
 
Ni ukweli ulio wazi sisiem ishakufa kwa sasa imeshikiliwa na vyombo vya dora,,,vyombo vya dora ndio vinashindana na vyama vya upinzani
You are absolutely correct
 
Mbona ilishakufa sikunyingi?!!!sasahivi ni kwamba kama sio viombo vya Pound,aaaah,hamnaga CCM.
 
Kafanye mambo yako uongeze kipato chako achana na siasa za nchi hii
We kaakaa ka ndezi hafu wengine wanatusua
Shauri yako
 
Ni ukweli ulio wazi sisiem ishakufa kwa sasa imeshikiliwa na vyombo vya dora,,,vyombo vya dora ndio vinashindana na vyama vya upinzani
Uzuri ni kwamba hali ikiendelea hivi mvurugano utaanzia huko huko ndani kwa ndani. Kwa maana wakishajiona wamemaliza kuwadhibiti wapinzani sasa wataanza kutafuta madhaifu yaliyopo huko huko ndani na huo ndio utakuwa mwisho wa uongozi wa kiimla tunauona ukikua kwa kasi. Tuna mifano kadhaa hapa tuliishuudia kwa macho
 
Kafanye mambo yako uongeze kipato chako achana na siasa za nchi hii
We kaakaa ka ndezi hafu wengine wanatusua
Shauri yako
Hata hii ninayofanya ni moja ya shughuli zangu.

Kwani wewe hujui kuwa siasa ni miongoni ya kazi halali za kukuingizia kipato mtanzania??
 
Unaota
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…