CCM inajisumbua jimbo la Moshi mjini

CCM inajisumbua jimbo la Moshi mjini

kitongoroso

Member
Joined
Nov 3, 2013
Posts
29
Reaction score
4
Chama cha mapinduzi kinatapatapa kila kukicha kuhakikisha kuwa kinalikomboa jimbo la Moshi mjini jambo ambalo ni sawa na ndoto za mchana kwani hawataweza kamwe kwa jinsi CHADEMA ilivyojiimarisha jimboni hapa. Kipindi hiki Chama cha mapinduzi kimemtuma kada wake kutoka daresalam anayefanya kazi bank sijajua ni bank gani hasa kwa uchunguzi anaitwa VICTOR TESHA kuja kujipitisha jimboni ili 2015 aweze kumngoa mzee Ndesamburo.

Kada huyu anajipitisha kweli jimboni hapa ila kwa ushauri tu aachane na hili jambo kwani linaweza kumpotezea muda na kazi yake pia, ni bora akaendelea na kazi yake ya kututunzia fedha zetu huko bank kwani siasa hatoziweza kabisa CCM wajaribu kumtuma mtu mwingine si huyu kijana mdogo. Kwa jinsi Moshi Mjini ilivyo CCM nawashauri wamtume JK kabisa aje kugombea na Ndesamburo labda anaweza kuleta upinzani.
 
Hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha
 
ccm haitakaa ishinde moshi wala arusha tena..
 
Arusha kule yule mbunge anauza picha fulani kama mshaziona hapo moshi mjini ni ubinafsi.wa ccm tuu nesamburo hana lolote
 
Natafuta cv yake nikiipata nitaileta hapa tuone kama anaweza kweli kupambana na ndesa pesa
 
huyo kijana asije kuleta lawama baada ya kufilisika .
 
Chama cha mapinduzi kinatapatapa kila kukicha kuhakikisha kuwa kinalikomboa jimbo la Moshi mjini jambo ambalo ni sawa na ndoto za mchana kwani hawataweza kamwe kwa jinsi CHADEMA ilivyojiimarisha jimboni hapa. Kipindi hiki Chama cha mapinduzi kimemtuma kada wake kutoka daresalam anayefanya kazi bank sijajua ni bank gani hasa kwa uchunguzi anaitwa VICTOR TESHA kuja kujipitisha jimboni ili 2015 aweze kumngoa mzee Ndesamburo.

Kada huyu anajipitisha kweli jimboni hapa ila kwa ushauri tu aachane na hili jambo kwani linaweza kumpotezea muda na kazi yake pia, ni bora akaendelea na kazi yake ya kututunzia fedha zetu huko bank kwani siasa hatoziweza kabisa CCM wajaribu kumtuma mtu mwingine si huyu kijana mdogo. Kwa jinsi Moshi Mjini ilivyo CCM nawashauri wamtume JK kabisa aje kugombea na Ndesamburo labda anaweza kuleta upinzani.

Kwa taarifa nilizonazo ni kwamba ndesa hatogombea tena moshi mjin,,kwa taarifa yako ili chadema iendelee kushinda moshi mjin lazima wamsimamishe mtu mwenye uwezo wakutumia fedha zake binafsi kwenye shughuli za maendeleo kama anavyofanya ndesa la sivyo mtaangukia pua asubuhi kweupee...!!!
 
Kwa taarifa nilizonazo ni kwamba ndesa hatogombea tena moshi mjin,,kwa taarifa yako ili chadema iendelee kushinda moshi mjin lazima wamsimamishe mtu mwenye uwezo wakutumia fedha zake binafsi kwenye shughuli za maendeleo kama anavyofanya ndesa la sivyo mtaangukia pua asubuhi kweupee...!!!

kwa taarifa yako meya wa jiji la moshi ambaye pia ni mwenyekiti wa cdm wilaya ya mo town mh.jafar michael ndiye mbunge atakayemrith mr.ndesa pessa
 
Ndesamburo kazeeka sana, mara kwa mara amekuwa akienda nje ya nchi kutibiwa maradhi ya utu uzima.
 
Back
Top Bottom