voicer
JF-Expert Member
- Jul 13, 2020
- 5,553
- 11,885
Huu mchezo wa siasa ni mtamu sana!
Miaka zaidi ya 30 ndani ya siasa za upinzani nchini. Ni wazi kwamba CHADEMA bado haijajua jinsi ya kupanga karata zake.
Badala yake tunaiona CHADEMA ikibaki kuwa mcheza ngoma wa CCM.
Mfano hai ni jinsi Paul Makonda wa CCM anavyozunguka nchini kuiamsha CCM, ambayo imelala kwenye Ubadhirifu na Ufisadi lukuki, na huku CHADEMA wakimfuatilia na kupambana nae kwa maneno yaleyale ya miaka yote.
Tunamuona Lissu akiwa ughaibuni akiendelea kulalamika kushambuliwa kwake.
Pia tudisahau Mbowe alikataza wafuasi wake kumuunga mkono Mwabukusi na "Sauti ya Watanzania" kutumia platform ya Chadema kwenye mikutano yao Dsm na akawazimia simu ilhali walikwisha wekeana "MoU"
Sasa Mbowe yeye yuko kimya anapambana kutafuna Ruzuku ya asali aliyolambishwa kupitia kwa Kinana!
Wafuasi wa CHADEMA wanaandamana na Makonda mitandaoni kwenye ziara yake ya Uhamasishaji wa Pro-Magufuli.
Miaka zaidi ya 30 ndani ya siasa za upinzani nchini. Ni wazi kwamba CHADEMA bado haijajua jinsi ya kupanga karata zake.
Badala yake tunaiona CHADEMA ikibaki kuwa mcheza ngoma wa CCM.
Mfano hai ni jinsi Paul Makonda wa CCM anavyozunguka nchini kuiamsha CCM, ambayo imelala kwenye Ubadhirifu na Ufisadi lukuki, na huku CHADEMA wakimfuatilia na kupambana nae kwa maneno yaleyale ya miaka yote.
Tunamuona Lissu akiwa ughaibuni akiendelea kulalamika kushambuliwa kwake.
Pia tudisahau Mbowe alikataza wafuasi wake kumuunga mkono Mwabukusi na "Sauti ya Watanzania" kutumia platform ya Chadema kwenye mikutano yao Dsm na akawazimia simu ilhali walikwisha wekeana "MoU"
Sasa Mbowe yeye yuko kimya anapambana kutafuna Ruzuku ya asali aliyolambishwa kupitia kwa Kinana!
Wafuasi wa CHADEMA wanaandamana na Makonda mitandaoni kwenye ziara yake ya Uhamasishaji wa Pro-Magufuli.