CCM inafaa kutuongoza tena mwaka 2020?

Tukumbuke nchi hii ina vizazi tofauti tofauti vya CCM
ukiangalia vzr kuna vizazi kadhaa vya CCM
vizazi hivi vilizaliwa tofauti ktk miaka ya
1. 1977
2. 1980
3. 1984
4. 1987
5. 1990
6. 1992 (mara Mbili)
7. 1994
8. 1995
9. 1997
10. 2015(Magufulinism)

CCM inavizazi zaidi ya kumi. Viongozi wanabadilika hasa pale wanapogundua mapungufu yao.

Leo Utasema kuna chama gani kimebadili viongozi wake na kuweka vizazi vipya kumi tofauti?

Mfumo wa sasa wa jpm(new magufulinism) hakika ni mfumo wenye nguvu.

Huwezi kua na kiwanda unataka kuzalisha bidhaa ziuzike sokoni ilhali bado unatumia spea za kizamani.

Viwanda hapa ni vyama, spea ni hao viongozi.
Hii hoja haina mashiko kama bado hatushindani kimfumo tunaangalia jina.

Sahau CCM, sahau CHADEMA, nk chunguza mifumo na vizazi ndani ya chama.

Utapata jibu nchi hii nani atashinda 2020

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha porojo mbona lema anafanya kila siku?
 
Ellen nitatofautiana na wewe kidogo, si kweli kwamba ccm inakataa kila kitu kinachotolewa na upinzani, kwa mfano;
-rushwa
-ufisadi
-mikataba/sheria mbovu.
haya yamekuwa yakipgiwa kelele na wpinzani kwa muda mrefu, na sasa yanafanyiwa kazi bila kujali tmechelew
 
We Mbowe hujui amekuwa mpiga dili wa kawaida? Anahangaika kurudi kwenye hali ya zamani wewe unamshangilia!!

Huyu na Manji mpiga dili hakuna tofauti. Sisi tunalia kwa sababu ya siasa, wengine wanalia kwa kuzibwa dili zao.

 
Kusema kweli kwa mwendo huu wa JPM 2020 itapenyaa,,,kulijenga Taifa hili si kwa chama tuu hata wewe mfugaji unanafasi ya kuisaidia Taifa kujengeka imeonesha kwamba ndani ya Taifa hili kuna ushindani wa Mimi naweza Fulani hawezi kwa tabia hii hatufiki kidogo tuwe wabunifu wa maendeleo, sio kwamba Leo kaongea hivi Mimi naongea hivi ushindani wa maneno tuuache tujaribu kushindana na maendeleo ,,, kwa uadilifu tutafika

Sent using Jamii Forums mobile app
 

CCM haifai kuongoza

ila ndio itaongoza kwa sababu ya ujinga wako na wapinzani

waza strategy za kuiondoa, sio mi article mireeeefu,kipi kipya hapo?
 
CCM haifai kuongoza

ila ndio itaongoza kwa sababu ya ujinga wako na wapinzani

waza strategy za kuiondoa, sio mi article mireeeefu,kipi kipya hapo?
Hii ya kuandika nayo inakukera nini kama haina madhara kwenu?
 
Nimechagua kuzungumzia chama badala ya watu kwa kuwa inawezekana kabisa baadhi ya watu wasiwepo lakini naamini kwamba CCM itakuwepo mwaka 2020
Huwezi kuongelea chama bila kuongelea watu. Chama kinaundwa kwa Sera zilizo kwenye maandishi. Watu ndiyo huyaweka hayo maandishi kuwa vitendo.

Ukiangalia maandishi yanaunda ccm utatamani isiondoke madarakani miaka 100. Lkn watu wake sasa. .....unatamani hata usiku huu wawe wamefutika ktk uso wa dunia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…