nygax
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,367
- 865
ataachaje kuwa lulu wakati ameongeza mtaji. we hujasoma habari ya kupotea kwa mwana kondoo mmoja kati ya kundi la kondoo 100? ama hukusikia habari ya mwana mpotevu?Anayetoka CCM kwenda CDM anaitwa oil chafu, anayetoka CDM kwenda CCM mnamwona lulu hata kama ni kadiwani au mwenyekiti wa mtaa. Uhayawani wa kiwango cha mwendokasi!

