Ili tumuelewe aweke mishahara yao, posho na stahiki zingine ndio tujadili.
Dalili ya kuwa wanatupiga ni wakati wa kugombea, mtu anaacha ukuu wa mkoa, biashara, proffesional kama udaktari, uhandisi anataka awe mbunge , Why? Kuna nini?
Hawa wakilipwa 1.5mil na hakuna posho wala nini, tutapata Wabunge wenye nia ya kuwakilisha wananchi.