MKEHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 714
- 1,137
- Thread starter
- #61
Nafikiri umeona maono yangu yalivyotimia mbali na kuita andiko langu RUBBISH. Kasome NIPASHE la leoRUBBISH!
Aonywe kwa lipi?
Ametoa maoni yake kama mbunge?
Mbona hamumuonyi Mama yenu aache kututia hasara ya kutembea na AIRBUS ya abiria mia mbili ikiwa tupu.?
Huyu mnamskama kisa alimsifia #JPM?
nyinyi ni S**ne kabisa!