Ni baada ya kugundua mgombea wao kumbe uwezo wake ni kukumbuka idadi ya kilometa za barabara kwa kichwa tuu na sio zaidi ya hilo.
Sasa wale wa Vijijini ambako hata rangi ya lami hawaijui zile mbwembwe za kilometa mia saba nukta tatu tano point zero five zitasaidia nini?
sikutaka kulogin humu lakini umenichekesha sana imebidi tu nilogin nikupe like...