CCM imekuchoka ukiwa wapi?

CCM imekuchoka ukiwa wapi?

Oneya

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2022
Posts
235
Reaction score
244
Neno CCM masikioni Sasa Ni Kama kinyaa kwangu. Miaka 61 ukiongezea na ya TANU watanzania bado Wana nyimbo zile zile. Ufisadi.....ukupe, elimu duni......walimu wachache....uhaba wa vifaa vya kufundishia na kujifunzia......upungufu wa madarasa na nyumba za walimu, upungufu wa vifaa tiba na madaktari sekta ya afya, upungufu wa pembejeo na wataalamu sekta ya kilimo na mifugo, Hali duni ya maisha.....mitaji, Umeme wa uhakika na maji.
Siasa chafu .......Rongo Rongo nyingiii yaani kusifiana too much. Hakuna uwazi kukopa kwingi. Uzalishaji Kama taifa limepungua na zaidi nchi imeangukia kutegemea misaada toka kwa wahisani. Sitaji mengi Ila CCM Ni dead horse
 
CCM ilishakufa kitambo sana Kwa sasa tuna polisi na usalama wa taifa ndio tunamalizia MAPAMBANO na hawa watu tuimalizana nao CCM tunaenda kuitupa mto Kagera ikaliwe na mamba
 
Back
Top Bottom