JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 8,204
- 11,357
Kwa sasa CCM ni kama chama ambacho kimechoka na kukata tamaa kabisa.
Kimebaki kuendesha mikutano yake kama matamasha na kuzungusha watu Dar kwenda kujaza mikutano ya viongozi maeneo mengine.. Kama vile wasanii.
Kwa kiasi kikubwa wasanii ndio wanakiendesha chama. Sio mbaya kwa sasa ni wananchi.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Shida ni pale kinabaki na wasanii peke yake na kuondoka kwenye vinywa vya wananchi. Hataka kama Rais atafanya mambo mangapi ila kama hamna wa kuyatetea na kuyajengea hoja hamna kitu.
Huku mtaani raia wa kawaida wahaoni kabisa anachofanya Samia hapo ikulu na wengine bado wako kwenye kutoongozwa na mwanamke.
CCM changamkeni ili chama kisife kabla ya July.
Kimebaki kuendesha mikutano yake kama matamasha na kuzungusha watu Dar kwenda kujaza mikutano ya viongozi maeneo mengine.. Kama vile wasanii.
Kwa kiasi kikubwa wasanii ndio wanakiendesha chama. Sio mbaya kwa sasa ni wananchi.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Shida ni pale kinabaki na wasanii peke yake na kuondoka kwenye vinywa vya wananchi. Hataka kama Rais atafanya mambo mangapi ila kama hamna wa kuyatetea na kuyajengea hoja hamna kitu.
Huku mtaani raia wa kawaida wahaoni kabisa anachofanya Samia hapo ikulu na wengine bado wako kwenye kutoongozwa na mwanamke.
CCM changamkeni ili chama kisife kabla ya July.