Vyama vya upinzani havikuwahi kuwa na dira, havina dira na hakuna dalili kama vitakuwa na dira katika miaka michache ijayo.
CCM kama chama kinayo dira,ila haitekelezwi ipasavyo[haifuatwi].
ndio maana hata wakati wa uchaguzi uliopita chama kilikuwa na ilani ya uchaguzi lakini tulishuhudia wagombea wao[akiwamo mgombea wa urais]akitangaza sera[ahadi?]ambazo hata kwenye ilani hazikuwepo.
sasa sijui linapokuja suala la utekelezaji wa wa ahadi baada ya uchaguzi kipaumbele kinakuwa kwenye ilani ya chama au ahadi binafsi za mgombea?
na hapo ndio mkanganyiko mkubwa unapoptokea mpaka kudhani kuwa chama hakina dira,dira ipo ila viongozi hawaifuati[au inawashinda kuifuata kwa kuwa labda inakinzana na malengo yao--binafsi]
hatahivyo bado CCM ina wanachama waadilifu wengi ambao kwa sababu moja au nyingine[nguvu ya mtandao?]wamekosa nafasi ya kukitumikia chama,lakini ipo siku,nayo haipo mbali,nguvu ya mafisadi haiwezi kudumu sana na inaelekea kuvunjika.
Hahahaaa,
Hii ni sawa na kusema, gari hii inajua inakoenda, ila madereva ndo hawajui njia wanaipeleka gari isikotaka. I mean, chama ni uongozi na wanachama. Uongozi ndio unaotoa mwelekeo na wanachama wanauunga mkono. Sasa uongozi ukiwa hauna dira, ni vigumu kusema chama kina dira!!! Yaani gari inajua inakoenda, ila dereva mbaya?
CCM haina Dira wala mwelekeo inaongozwa na hisia za mtu mmoja na busara za mtu fulani ndio maana leo tumefika hapa tulipo. Leo toka Mwalimu Nyerere afa ameondoka na CCM yake ya asili. Kuna mabaki ya CCM
Democracy is not about voting but mainly counting!
Vyama vya upinzani havikuwahi kuwa na dira, havina dira na hakuna dalili kama vitakuwa na dira katika miaka michache ijayo.
If democracy is not about voting but counting, try achieving democratic ideals by counting the stars.
If democracy is not about voting but counting, try achieving democratic ideals by counting the stars.