Tumain
JF-Expert Member
- Jun 28, 2009
- 3,154
- 70
Ungea yote lakini Islam is more than siasa and chama? please be infomed...Je CCM ni chama cha Kibepari, Kikomunisti, Kisoshalist, kiliberali, kiislam? CCM ni chama kinyonga na kila mahali kipo (katika hizo siasa tano juu)!! Ni kweli kuwa hata upinzani huoni sera hasa, lakini ni hatari kwa chama kinachoongoza serikali kukosa dira.
Upinzani haujawahi kuwa explicit kwenye mambo kama ubinafsishaji wa mali za umma, Uendeshaji wa uchumi, mambo ya nje, n.k. Vyama vya upinzani kwenye sera nyingi vinafanana na CCM; ila vina ahidi kutekeleza vizuri zaidi kuliko CCM. Ndo huwezi kuchora mstari wa wapiga kura. Wapiga kura siku zote wako confused na pole pole wataanza kupigia kura dini, makabila, n.k.
sera hata kama zipo, hazitekelezeki au wanaozisema hawatekelezi kile wanachosema. Kwa hiyo huo ni ukweli mtupu kuwa CCM hakina dira wala mwelekeo, kinaongozwa na matukio!! Hata vyama vya upinzani vinaongozwa na matukio vile vile!
CCM ni chini ya sisimizi kwa uislamu!!!
CUF ni chini ya sisimizi kwa uislam!!!
Chadema ni chini ya sisimizi kwa uislamu!!!
Just to make it clear ndugu huwezi "linganisha mbingu na ardhi"