CCM Imebaki Jina

The Worshiper

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
302
Reaction score
89
Kilichobaki kwa sasa ni kila jambo wao kutumia mapesa(mamilioni) ili kukinusuru chama maana KIMESHAKUFA .Wananchi wameshakichoka kwakuwa hamna jipya tena linaloweza kupatikana huko.Aina ya viongozi ni ileile miaka nenda rudi;aina ya utendaji ni Ule Ule;malengo ni Yale Yale;mbinu ni zile siku zote.

Mipango ni ileile;akili ni zilezile;uwezo ni Ule Ule;ujuzi ni uleule wameshindwa KUJIONGEZA ni walewale.TUSITEGEMEE LOLOTE JIPYA kutoka Ccm KWAKUWA ni WALEWALE SIKU ZOTE.
 
Wewe kweli kichwa maji! Kwani nchi inaongozwa na Serikali ya Chama gani?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hawana uwezo zaidi wametutia umaskini zaid.... magamba kwa heri
 
Mtu yeyote anayeikashifu CCM lazima kichwani hayuko sawa.
CCM imemkomboa mtanzania kutoka makuchani mwa mkoloni, leo hii ukiitukana unajitakia laana!
 
Mtu yeyote anayeikashifu CCM lazima kichwani hayuko sawa.
CCM imemkomboa mtanzania kutoka makuchani mwa mkoloni, leo hii ukiitukana unajitakia laana!
Halafu yenyewe ndo ikawa mkoloni mweusi.....to bad! noth
ing new!
 
Vila ccm usingeweza hats kupost thread yako
 
safi sana , umeandika ukweli wa mambo ! Hiki chama hivi sasa kimebaki kushabikiwa na watoto wa viongozi tu , na hawa sababu zao zinafahamika .
 
Mtu yeyote anayeikashifu CCM lazima kichwani hayuko sawa.
CCM imemkomboa mtanzania kutoka makuchani mwa mkoloni, leo hii ukiitukana unajitakia laana!

CCM ipi ilomkomboa Mtanzania? Masikini ASP yangu hata hutambuliki tena na kizazi hiki cha Nape..
 
Ushahidi wa kuwa CCM bado ni ngangari ni pale CHADEMA, CUF na NCCR kushindwa kusimama wao kama wao kupapmabana na CCM na badala yake wanaibuka na ukawa japo asilimia 70 bado watabwagwa tu.
 
safi sana , umeandika ukweli wa mambo ! Hiki chama hivi sasa kimebaki kushabikiwa na watoto wa viongozi tu , na hawa sababu zao zinafahamika .
CCM inauwawa na maneno ya wakosaji kama haya,ila kiuhalisia sijaona chama cha kuiondoa madarakani, labda miaka ishirini ijayo
 
Wewe kweli kichwa maji! Kwani nchi inaongozwa na Serikali ya Chama gani?


Sent from my iPhone using JamiiForums

hawa ndiyo wale wanajifariji kuwa kuna siku CHADEMA wataingia ikulu, akumbuke bila UKAWA hakuna CHADEMA ila CUF na NCCR wanaweza kuwepo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…