Kilichobaki kwa sasa ni kila jambo wao kutumia mapesa(mamilioni) ili kukinusuru chama maana KIMESHAKUFA .Wananchi wameshakichoka kwakuwa hamna jipya tena linaloweza kupatikana huko.Aina ya viongozi ni ileile miaka nenda rudi;aina ya utendaji ni Ule Ule;malengo ni Yale Yale;mbinu ni zile siku zote.
Mipango ni ileile;akili ni zilezile;uwezo ni Ule Ule;ujuzi ni uleule wameshindwa KUJIONGEZA ni walewale.TUSITEGEMEE LOLOTE JIPYA kutoka Ccm KWAKUWA ni WALEWALE SIKU ZOTE.
Ushahidi wa kuwa CCM bado ni ngangari ni pale CHADEMA, CUF na NCCR kushindwa kusimama wao kama wao kupapmabana na CCM na badala yake wanaibuka na ukawa japo asilimia 70 bado watabwagwa tu.