CCM iko hoi kiuchumi!

CCM iko hoi kiuchumi!

Jk ni mzigo wa misumali
 

Attachments

  • 1391023167326.jpg
    1391023167326.jpg
    14.6 KB · Views: 88
Deni la Taifa ni matrilion. Hatuoni yanaenda wapi jamani. kweli Jk kiboko. Unaacha Nchi ikiwa hoi bin taabani kwa kuwa inachukuliwa na CDM? Hii mipesa itarudishwa bila kuangalia nyani usoni
 
miradi yote hiyo chama kinakuwa hoi...kila eneo linalopimwa tz lazima ccm wapatiwe...
 
Yap..ndio maana Mwigulu amepelekwa Wizara ya Fedha ili afanye mipango ya kuchota fedha. Wafanyakazi wapo hatarini kukopwa mishahara yao!

Wakopwe mara ngapi, hili Mbona tayari linafanyika.
 
Mizigo juu ya mizigo!

Nawashauri wampigie magoti EL atawasaidia kulipa.

Alafu hivi hayo madeni yasiolipwa miaka nenda miaka rudi,riba yake si inaongezeka?
 
Sasamwigulu ataiba nini..na nini ataacha serikalini ili wafanyakazi nao wasianze balaa?
 
Sasamwigulu ataiba nini..na nini ataacha serikalini ili wafanyakazi nao wasianze balaa?

huko chadema hakuna taarifa ya wazi ya mapato na matumizi fwedha zatafunwa kama maembe afadhalio CCM wamekopa hela kuendesha mikutano ya NEC nyie mnawapa babu na mwenzie watafune
 
Mwigulu fanya kazi yako km tulivyokubaliana kwenye kikao chetu cha ndani. Hakikisha unachota pesa ya kulipa haya madeni vilevile pesa ya uchaguz ipatikane. Ccm ni noma..!
 
Sio Siri tena...Mziki wa Lema Arusha akiongoza Squad la CDM ndio waliofilisi kabisa CCM kutoka ktk chanzo muhimu cha hela.

Ujio wa mkurugenzi makini arusha ndio kumemalizia kabisa matumainya CCM kuwa na hela ,na mbaya zaidi hata majiji mengine CDM ndio wameshika na kuifanya CMC ikose pumzi kabisa..

Tusubiri kusikia mapato ya Arusha kupanda tuu,kwani mwizi anayo kazi.Sasa wakapige mishemishe Wizarani tuu.

Hadi 2015 CDM itakuwa imemaliza kazi ya kuiwekea CCM vikwazo vya kifedha kabisa na kuingia ktk uchaguzi CCM ikiwa haina kitu.
 
Back
Top Bottom