CCM ikishindwa uchaguzi nani alaumiwe?

CCM ikishindwa uchaguzi nani alaumiwe?

Mssassou

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2015
Posts
1,537
Reaction score
597
Kuna kila dalili zimejionesha dhahiri kuwa CCM inakwenda kuanguka 25/Oktoba/2015.Kila unakopita katika watu kumi ni watatu tu wanaipenda CCM lkn watu Saba wanailalamikia CCM na wameapa kutoichagu.Je CCM isipochaguliwa nani alaumiwe?
 
hakuna wa kumlaumu , bali kitakachofuatia ni kumtukuza Mungu kwa nyimbo na mapambio .
 
Mwenyekiti ametuletea mgombea a siyeeleweka Kwa maamuzi yake am aye amesahau hata ilani ya chama chake
 
Kuna kila dalili zimejionesha dhahiri kuwa CCM inakwenda kuanguka 25/Oktoba/2015.Kila unakopita katika watu kumi ni watatu tu wanaipenda CCM lkn watu Saba wanailalamikia CCM na wameapa kutoichagu.Je CCM isipochaguliwa nani alaumiwe?

Labda wewe hujapita kule ambako mimi nimepita. Huku kwangu wote kumi wanasema wanawafariji tu UKAWA maana hamtaki kusikia mnasemwa vibaya hivyo wanawaogopa. Ili kuepusha shari wanawambia maneno ya Faraja tu ili kuvuta siku zifike wawapige chini kistaarabu
 
CCM watalaumiana wao kwa wao.
Na itakuwa baina ya Mkapa na Kikwete maana hawa ndio walioongoza kikao cha 'UKATAJI' na majina ya MFUKONI.
Wengine Nape na domo lake,Philiph Mangula n.k
Magufuli katolewa kafara yeye hana lawama.
 
Code:
aisee, umeunenea mtima wangu,  ulakhoze chane !
labda wewe hujapita kule ambako mimi nimepita. Huku kwangu wote kumi wanasema wanawafariji tu ukawa maana hamtaki kusikia mnasemwa vibaya hivyo wanawaogopa. Ili kuepusha shari wanawambia maneno ya faraja tu ili kuvuta siku zifike wawapige chini kistaarabu
 
Kuna kila dalili zimejionesha dhahiri kuwa ukiwa inakwenda kuanguka 25/Oktoba/2015.Kila unakopita katika watu kumi ni watatu tu wanaipenda ukiwa lkn watu Saba wanaulalamikia ukiwa na wameapa kutoichagu.Je chade isipochaguliwa nani alaumiwe?
 
Code:
aisee, umeunenea mtima wangu,  ulakhoze chane !

Fanya uchang'anuzi wa comments ktk thread hii majibu yenu na yawenzenu mmeachwa kwa mbali Sana kiidadi kwa hiyo nilichoandika ni sahihi
 
kwetu ss tutamwagia sifa JK kwa udhaifu wake uliosababisha maamuzi yenye kuongonzwa na hisia pale Dodoma!
 
Labda wewe hujapita kule ambako mimi nimepita. Huku kwangu wote kumi wanasema wanawafariji tu UKAWA maana hamtaki kusikia mnasemwa vibaya hivyo wanawaogopa. Ili kuepusha shari wanawambia maneno ya Faraja tu ili kuvuta siku zifike wawapige chini kistaarabu

Jifariji, okt 25 utakufa kwa presha, ccm ishakufa.
 
atalaumiwa mbowe kwa kumkaribisha lowassa chadema
 
Ulionao wapi nyoka anakufa baada ya kujivua gamba? Kifupi huwa anarudi ujana

Kama lowasa ni gamba /alikuwa gamba, humo ccm magamba yameisha? Je matatizo yote na umaskini wa nchi hii na raia wake vimesababishwa na lowasa? Nikuonavyo wewe si mzima kichwani.
 
Kuna kila dalili zimejionesha dhahiri kuwa CCM inakwenda kuanguka 25/Oktoba/2015.Kila unakopita katika watu kumi ni watatu tu wanaipenda CCM lkn watu Saba wanailalamikia CCM na wameapa kutoichagu.Je CCM isipochaguliwa nani alaumiwe?

CCM imesha shindwa sasa tuna subiri muda na saa jogoo awike. Wakulaaumiwa ni mfumo kandamizi ndani ya katiba ya nchi.
 
watalaumiwa viongozi wake pamoja na mgombea maana kiswahili anachokitumia kuwa akiwa rais atafuata nyayo za wale waliomtangulia maana yake ataturudisha kule jehanam
 
Wakulaumiwa ni wale waliokata majina ya wagombea walio stahili.
 
Back
Top Bottom