CCM Ijihadhari na Wanasiasa Materialistic

CCM Ijihadhari na Wanasiasa Materialistic

Bowie

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
4,373
Reaction score
6,084
Pamoja na mafanikio ya serikali ya awamu ya tano. Kuna wimbi kubwa la wanasiasa wanaohamia chama cha CCM. Mtu ama watu kuhamia chama cha CCM siyo vibaya. Ila ninatahadharisha uongozi wa CCM kuwa makini na hawa wanasiasa vigeugeu na wengine Materialistic wanaohamia CCM sio kwa mapenzi ya kupenda chama ila kwa maslahi yao binafsi. Ni vyema CCM ikafanya vetting kabla ya kumkubali huyo mwanachama ama wanachama wapya wanaohamahama vyama.
 
Pamoja na mafanikio ya serikali ya awamu ya tano. Kuna wimbi kubwa la wanasiasa wanaohamia chama cha CCM. Mtu ama watu kuhamia chama cha CCM siyo vibaya. Ila ninatahadharisha uongozi wa CCM kuwa makini na hawa wanasiasa vigeugeu na wengine Materialistic wanaohamia CCM sio kwa mapenzi ya kupenda chama ila kwa maslahi yao binafsi. Ni vyema CCM ikafanya vetting kabla ya kumkubali huyo mwanachama ama wanachama wapya wanaohamahama vyama.
Nikweli kabisa ccm cyo jalife lakukusanya kila takataka.
 
CCM inaongozwa na mawazo ya Bashite....mwisho wa mjinga kufikiri.....ndio hapo mwanzo wa mwelevu kufikiri
 
Uimara wa Chama ni wanachama au viongozi maarufu?

Kura ndio Ushindi au kuna namna ingine ya kupata kura
Idadi ya wanachama hai wa chama ndio ishara ya kura nyingi

Je Wananchi wanafurahishwa na nini ili wajiunge na chama fulani? Sera au mafanikio ya kutimiza ilani?

Je Wananachi wanafurahia rasili mali na unafuu wa maisha?

Wafanyakazi wanaridhika na matumizi ya pesa zao katika hii mifuko?
 
Back
Top Bottom