Criss
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 1,944
- 3,090
Maelezo machache sana bila kuathiri mikakati ya msingi .
Siku moja nyuma kabla ya jana nilikuwa na uadui wa wazi kabisa na kila aliyekuwa mwanaccm ,niliamini kila mwanaccm ni mnufaika wa huu upuuzi ,hali nitofauti sana wazee.
Sikuwaza kabisa kusikia na hata kuona kwa ushahidi wa wazi kuwa kumbe hata wao wapo upande wetu ,Mungu aendelee kuwatetea kwa ujasiri wenu ,wanakiki kuwa hisia sana ,mtu anasema japo kwa majonzi mazito lakini sina namna ,maslahi ya Tanganyika yangu kwanza.
Kwa uchache sana labda niseme changamoto ya uonevu kwa watanganyika inaendelea kupata support kubwa kwa wadau mbalimbali tena kwenye nyanja zote muhimu kuanzia mapambano ya kiuchumi kwa maana ya kuhakikisha uchumi wa Tanzania unakwenda kuwa sufuri ,kwa wenye hela wenginwanashauriwa kufanya mambo mawili aidha kuibadili pesa kuwa mali au kufungua account za fedha zakigeni (foreign account) upepo wetu kiuchumi unakwenda kubadilika sana , usalama wa viongozi waliyojiteua unakwenda kufutwa kwa mtindo ule ule wa do me do you na support kwa waandamanaji inakuwa active to the maximum lakini mengi mazito yanakwenda kuwekwa wazi kiasi cha kuifanya serikali inuke kama kinyesi.
Nadhani nimejitahidi sana kuongea bila kuathiri mpango na mikakati muhimu yakiukombozi .
Kila muhanga wa haya tunayoyapitia aendelee kutimiza wajibu wake kwa umakini mkubwa hasa kwa kuzingatia changamoto ya usalama tuliyonayo .
Wakuu tupo pazuri zaidi ya jana , tujitajidi kutokuwa wawazi sana wa kuzisambaza taarifa za kimkakati ,usiri uwe ndiyo siraha yetu ya kwanza na ikiwa kama tunashare na wenzetu tuhakikishe tunatembea kwenye code sana.
Neno moja tu la nyongeza , kwa uzito wa mikakati ilivyo siioni hii serikali ikiwa salama ndani ya miezi sita ijayo ,siioni hiyo dalili maana waliyo ndani yao (wetu ni wengi kuliko wao).
Jitahidi kunielewa harakaharaka..
Ukishaisoma futa.
Siku moja nyuma kabla ya jana nilikuwa na uadui wa wazi kabisa na kila aliyekuwa mwanaccm ,niliamini kila mwanaccm ni mnufaika wa huu upuuzi ,hali nitofauti sana wazee.
Sikuwaza kabisa kusikia na hata kuona kwa ushahidi wa wazi kuwa kumbe hata wao wapo upande wetu ,Mungu aendelee kuwatetea kwa ujasiri wenu ,wanakiki kuwa hisia sana ,mtu anasema japo kwa majonzi mazito lakini sina namna ,maslahi ya Tanganyika yangu kwanza.
Kwa uchache sana labda niseme changamoto ya uonevu kwa watanganyika inaendelea kupata support kubwa kwa wadau mbalimbali tena kwenye nyanja zote muhimu kuanzia mapambano ya kiuchumi kwa maana ya kuhakikisha uchumi wa Tanzania unakwenda kuwa sufuri ,kwa wenye hela wenginwanashauriwa kufanya mambo mawili aidha kuibadili pesa kuwa mali au kufungua account za fedha zakigeni (foreign account) upepo wetu kiuchumi unakwenda kubadilika sana , usalama wa viongozi waliyojiteua unakwenda kufutwa kwa mtindo ule ule wa do me do you na support kwa waandamanaji inakuwa active to the maximum lakini mengi mazito yanakwenda kuwekwa wazi kiasi cha kuifanya serikali inuke kama kinyesi.
Nadhani nimejitahidi sana kuongea bila kuathiri mpango na mikakati muhimu yakiukombozi .
Kila muhanga wa haya tunayoyapitia aendelee kutimiza wajibu wake kwa umakini mkubwa hasa kwa kuzingatia changamoto ya usalama tuliyonayo .
Wakuu tupo pazuri zaidi ya jana , tujitajidi kutokuwa wawazi sana wa kuzisambaza taarifa za kimkakati ,usiri uwe ndiyo siraha yetu ya kwanza na ikiwa kama tunashare na wenzetu tuhakikishe tunatembea kwenye code sana.
Neno moja tu la nyongeza , kwa uzito wa mikakati ilivyo siioni hii serikali ikiwa salama ndani ya miezi sita ijayo ,siioni hiyo dalili maana waliyo ndani yao (wetu ni wengi kuliko wao).
Jitahidi kunielewa harakaharaka..
Ukishaisoma futa.