Allen Kilewella JF-Expert Member Joined Sep 30, 2011 Posts 25,781 Reaction score 50,303 Aug 18, 2026 #1 Wanakusanya Kodi halafu wanazitumia hovyo na kuzifuja kama Mali zao binafsi. Wakihojiwa wanataharuki. Serikali ya Tanzania siyo Mali ya CCM.
Wanakusanya Kodi halafu wanazitumia hovyo na kuzifuja kama Mali zao binafsi. Wakihojiwa wanataharuki. Serikali ya Tanzania siyo Mali ya CCM.
Marcostilone JF-Expert Member Joined Jun 25, 2023 Posts 6,566 Reaction score 16,281 Aug 18, 2026 #2 Inakuwa kama ndio waliozaliwa na hati miliki ya Tanzania, washenzi!
Detective J JF-Expert Member Joined Oct 17, 2016 Posts 30,220 Reaction score 54,534 Aug 18, 2026 #3 Allen Kilewella said: Wanakusanya Kodi halafu wanazitumia hovyo na kuzifuja kama Mali zao binafsi. Wakihojiwa wanataharuki. Serikali ya Tanzania siyo Mali ya CCM. Click to expand... Wanaiona ndio wenye hatimiliki na nchi
Allen Kilewella said: Wanakusanya Kodi halafu wanazitumia hovyo na kuzifuja kama Mali zao binafsi. Wakihojiwa wanataharuki. Serikali ya Tanzania siyo Mali ya CCM. Click to expand... Wanaiona ndio wenye hatimiliki na nchi
Kijukuu cha ngoyayi JF-Expert Member Joined Oct 27, 2018 Posts 3,133 Reaction score 6,128 Aug 18, 2026 #4 Mbuzi wa mama soon wakitoka malishoni watakushambulia tu