CCM heshimuni wazee, waacheni wapumzike

CCM heshimuni wazee, waacheni wapumzike

Uzee ni muda wa kutubia, kuungama na kutumia kile ulichochuma wakati wa ujana wako. Sio muda wa kutafuta dhambi na maadui wapya bali kutafuta watu wengi zaidi wataokuzika siku ukifa.

Kazi mliyompa Mzee Wasira ya uwenyekiti wa CCM bara ni kazi nzito sana kwa Mzee kama Wasira aliyelitumikia taifa tangu awamu ya kwanza. Hivi ni kweli CCM haikutengeneza vijana wengine kama Wasira? Na je, Mzee Wasira haikutengeneza vijana wengine kama yeye?

Mzee Wasira atapumzika lini? Atafurahia kucheza na wajukuu na vitukuu vyake lini?

Kwa umri wake alipaswa kuhudumu kama Mzee wa kanisa sio mwenyekiti wa CCM. Succession plan haikufanyika vizuri CCM, au CCM wenye maarifa wameisha au wanaoaminika wamepumgua sana.
mzee slaa mwenye laana na mzee lwaitama mpiga vizinga wao wachape kazi ya siasa tu au unaonaj BAZECHA ifutwe tu gentleman ?🐒
 
Uzee ni muda wa kutubia, kuungama na kutumia kile ulichochuma wakati wa ujana wako. Sio muda wa kutafuta dhambi na maadui wapya bali kutafuta watu wengi zaidi wataokuzika siku ukifa.

Kazi mliyompa Mzee Wasira ya uwenyekiti wa CCM bara ni kazi nzito sana kwa Mzee kama Wasira aliyelitumikia taifa tangu awamu ya kwanza. Hivi ni kweli CCM haikutengeneza vijana wengine kama Wasira? Na je, Mzee Wasira haikutengeneza vijana wengine kama yeye?

Mzee Wasira atapumzika lini? Atafurahia kucheza na wajukuu na vitukuu vyake lini?

Kwa umri wake alipaswa kuhudumu kama Mzee wa kanisa sio mwenyekiti wa CCM. Succession plan haikufanyika vizuri CCM, au CCM wenye maarifa wameisha au wanaoaminika wamepumgua sana.
This is not fair at all.
 

Attachments

  • FB_IMG_1747646513450.jpg
    FB_IMG_1747646513450.jpg
    46.5 KB · Views: 6
Mwanaume mzee anaweza hata kujikojolea jukwaani. Shauri yao bana

Ana foley catheter ndio uzuri! Mzee kama huyu sphincters zote zilishalegea, ni science tu wandugu uvisisiemu msione nadhalilisha wazee!
 
Paragraph ya kwanza umeandika point kubwa mno.

Sikutegemea kama ningeweza kupata madini kama haya kirahisi hivyo mkuu.

Ubarikiwe sana
 
Wale wako Baraza la wazee sio watendaji wakuu. Hata Mzee Wasira kuwepo kwenye Baraza la wazee ni sawa tu pamoja na wenzake akina malecela, Msekwa, Kinana, Makamba na wenzake. Hata Mzee Kinana nadhani ndicho kilichomfanya ang'atuke.
 
Uzee ni muda wa kutubia, kuungama na kutumia kile ulichochuma wakati wa ujana wako. Sio muda wa kutafuta dhambi na maadui wapya bali kutafuta watu wengi zaidi wataokuzika siku ukifa.

Kazi mliyompa Mzee Wasira ya uwenyekiti wa CCM bara ni kazi nzito sana kwa Mzee kama Wasira aliyelitumikia taifa tangu awamu ya kwanza. Hivi ni kweli CCM haikutengeneza vijana wengine kama Wasira? Na je, Mzee Wasira haikutengeneza vijana wengine kama yeye?

Mzee Wasira atapumzika lini? Atafurahia kucheza na wajukuu na vitukuu vyake lini?

Kwa umri wake alipaswa kuhudumu kama Mzee wa kanisa sio mwenyekiti wa CCM. Succession plan haikufanyika vizuri CCM, au CCM wenye maarifa wameisha au wanaoaminika wamepumgua sana.
Anabeba Zege?
 
Back
Top Bottom