CCM heshimuni wazee, waacheni wapumzike

CCM heshimuni wazee, waacheni wapumzike

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
16,252
Reaction score
16,169
Uzee ni muda wa kutubia, kuungama na kutumia kile ulichochuma wakati wa ujana wako. Sio muda wa kutafuta dhambi na maadui wapya bali kutafuta watu wengi zaidi wataokuzika siku ukifa.

Kazi mliyompa Mzee Wasira ya uwenyekiti wa CCM bara ni kazi nzito sana kwa Mzee kama Wasira aliyelitumikia taifa tangu awamu ya kwanza. Hivi ni kweli CCM haikutengeneza vijana wengine kama Wasira? Na je, Mzee Wasira haikutengeneza vijana wengine kama yeye?

Mzee Wasira atapumzika lini? Atafurahia kucheza na wajukuu na vitukuu vyake lini?

Kwa umri wake alipaswa kuhudumu kama Mzee wa kanisa sio mwenyekiti wa CCM. Succession plan haikufanyika vizuri CCM, au CCM wenye maarifa wameisha au wanaoaminika wamepumgua sana.
 
Uzee ni muda wa kutubia, kuungama na kutumia kile ulichochuma wakati wa ujana wako. Sio muda wa kutafuta dhambi na maadui wapya bali kutafuta watu wengi zaidi wataokuzika siku ukifa.

Kazi mliyompa Mzee Wasira ya uwenyekiti wa CCM bara ni kazi nzito sana kwa Mzee kama Wasira aliyelitumikia taifa tangu awamu ya kwanza. Hivi ni kweli CCM haikutengeneza vijana wengine kama Wasira? Na je, Mzee Wasira haikutengeneza vijana wengine kama yeye?

Mzee Wasira atapunzika lini? Atafurahia kucheza na wajukuu na vitukuu vyake lini?

Kwa umri wake alipaswa kuhudumu kama Mzee wa kanisa sio mwenyekiti wa CCM. Succession plan haikufanyika vizuri CCM, au CCM wenye maarifa wameisha au wanaoaminika wamepumgua sana.
Sisiemu kwenye masuala ya haki za binadamu hawapo. Wamempa Wasira kazi ambayo haiwezi na anaifanya hiyo kazi labda kwa sababu hakuwa amejipanga kimaisha. Kumpa Mzee wa umri mkubwa kiasi kile ni kumdhalilisha na kutokumtendea haki
 
Mzee mwenyewe anaitaka hiyo kazi na anaifurahia.
Kama angekuwa haitaki na anahitaji kucheza na wajukuu basi angeomba apumzishwe.

Madaraka matamu
 
Ndo kazi aliitiwa..wacha afie kazini kama papa Fransis
 
Sisiemu kwenye masuala ya haki za binadamu hawapo. Wamempa Wasira kazi ambayo haiwezi na anaifanya hiyo kazi labda kwa sababu hakuwa amejipanga kimaisha. Kumpa Mzee wa umri mkubwa kiasi kile ni kumdhalilisha na kutokumtendea haki
Kwa umri wake ule lazima afya yake Ina kasoro. Umri ule ni WA watu ambao wanahitaji kukaa karibu na washroom (toilet) kwakuwa wanahitaji kukojoa mara kwa mara, uwezo wao wa kuzuia mkojo unapungua, wanachoka haraka na wana degenerative na metabolic disorders nyingi sana. Huwezi kumtembeza na kumsimamisha kwa muda mrefu, utamuua haraka.
 
Ukiona hivyo!
Kwa CCM hakuna mwenye uwezo wa kuhimili vishindo vya Vyama vya Upinzani!
 
Mzee mwenyewe anaitaka hiyo kazi na anaifurahia.
Kama angekuwa haitaki na anahitaji kucheza na wajukuu basi angeomba apumzishwe.

Madaraka matamub
Kuna mawili, njaa ya Mzee au tamaa za Mzee.
 
Ndo kazi aliitiwa..wacha afie kazini kama papa Fransis
Kuhutubia jukwaani huku umebanwa na mkojo sio lelemama. Kwenu hujakaa na wazee wa umri ule? Aliyependekeza jina la Mzee kwenye nafasi ile amefanya hivyo kwa maslahi yake binafsi, sio chama na taifa.
 
Kuhutubia jukwaani huku umebanwa na mkojo sio lelemama. Kwenu hujakaa na wazee wa umri ule? Aliyependekeza jina la Mzee kwenye nafasi ile amefanya hivyo kwa maslahi yake binafsi, sio chama na taifa.
Ccm ina vijana?
 
Sijui atapumzika lini maana nina mashaka hata Mbinguni nako haendi kulingana na ninayoyaona😳yanatia shaka mno ndugu zangu
 
hata kuwa mzee wa kanisa bado umri wake ni mkubwa sana, angefaa apumzike tu
 
Uzee ni muda wa kutubia, kuungama na kutumia kile ulichochuma wakati wa ujana wako. Sio muda wa kutafuta dhambi na maadui wapya bali kutafuta watu wengi zaidi wataokuzika siku ukifa.

Kazi mliyompa Mzee Wasira ya uwenyekiti wa CCM bara ni kazi nzito sana kwa Mzee kama Wasira aliyelitumikia taifa tangu awamu ya kwanza. Hivi ni kweli CCM haikutengeneza vijana wengine kama Wasira? Na je, Mzee Wasira haikutengeneza vijana wengine kama yeye?

Mzee Wasira atapumzika lini? Atafurahia kucheza na wajukuu na vitukuu vyake lini?

Kwa umri wake alipaswa kuhudumu kama Mzee wa kanisa sio mwenyekiti wa CCM. Succession plan haikufanyika vizuri CCM, au CCM wenye maarifa wameisha au wanaoaminika wamepumgua sana.
Wana mtumia ili watu wasio na uelewa mzuri, waone hii CCM bado ya Nyerere
 
Who cares, sisiemu hupati kitu bila mchongo so alitaka mwenyewe akatembeza deal likafika kwa mama akasomeshwa na wadau then mama yao kampa fupa afe nalo, sasa limekwama kooni 😛 😛 😛
 
Who cares, sisiemu hupati kitu bila mchongo so alitaka mwenyewe akatembeza deal likafika kwa mama akasomeshwa na wadau then akampa fupa afe nalo, sasa limekwama kooni 😛 😛 😛
Hahahaha
 
Uzee ni muda wa kutubia, kuungama na kutumia kile ulichochuma wakati wa ujana wako. Sio muda wa kutafuta dhambi na maadui wapya bali kutafuta watu wengi zaidi wataokuzika siku ukifa.

Kazi mliyompa Mzee Wasira ya uwenyekiti wa CCM bara ni kazi nzito sana kwa Mzee kama Wasira aliyelitumikia taifa tangu awamu ya kwanza. Hivi ni kweli CCM haikutengeneza vijana wengine kama Wasira? Na je, Mzee Wasira haikutengeneza vijana wengine kama yeye?

Mzee Wasira atapumzika lini? Atafurahia kucheza na wajukuu na vitukuu vyake lini?

Kwa umri wake alipaswa kuhudumu kama Mzee wa kanisa sio mwenyekiti wa CCM. Succession plan haikufanyika vizuri CCM, au CCM wenye maarifa wameisha au wanaoaminika wamepumgua sana.
Mwanaume mzee anaweza hata kujikojolea jukwaani. Shauri yao bana
 
Uzee ni muda wa kutubia, kuungama na kutumia kile ulichochuma wakati wa ujana wako. Sio muda wa kutafuta dhambi na maadui wapya bali kutafuta watu wengi zaidi wataokuzika siku ukifa.

Kazi mliyompa Mzee Wasira ya uwenyekiti wa CCM bara ni kazi nzito sana kwa Mzee kama Wasira aliyelitumikia taifa tangu awamu ya kwanza. Hivi ni kweli CCM haikutengeneza vijana wengine kama Wasira? Na je, Mzee Wasira haikutengeneza vijana wengine kama yeye?

Mzee Wasira atapumzika lini? Atafurahia kucheza na wajukuu na vitukuu vyake lini?

Kwa umri wake alipaswa kuhudumu kama Mzee wa kanisa sio mwenyekiti wa CCM. Succession plan haikufanyika vizuri CCM, au CCM wenye maarifa wameisha au wanaoaminika wamepumgua sana.
Marehemu wasira
 
Wana mtumia ili watu wasio na uelewa mzuri, waone hii CCM bado ya Nyerere
Kaka hizo zinaweza kuwa punzi za mwisho za CCM kama Kuna watu wanafikiria Mzee bado ni bora kuliko vijana wa umri wa akina makonda, polepole na wengine. Sio dalili njema. Huyu Mzee Kuna watu wanamwita Tyson, labda hiyo ndiyo sifa inayowafanya wamuone anafaa. Utyson maana yake roho mbaya, kung'ata opponent, kupiga, au kuonea wengine bila huruma. Kwa umri wake haifai kuwa na sifa kama hizo za Tyson.
 
Mwanaume mzee anaweza hata kujikojolea jukwaani. Shauri yao bana
Ndio maana wazee wengi wananuka mikojo, ni kwasababu hiyo, muscle zimelegea na milango (sphincters) ya kibofu na mingine imelegea kumudu kujizuia. Umri huu wengi wana kisukari na shinikizo kubwa la damu, hivyo moyo na mafigo haviwi imara tena kama zamani zake.

Nani kampa kandarasi hii?
 
Who cares, sisiemu hupati kitu bila mchongo so alitaka mwenyewe akatembeza deal likafika kwa mama akasomeshwa na wadau then akampa fupa afe nalo, sasa limekwama kooni 😛 😛 😛
😂😂
 
Back
Top Bottom