Papy ndombe
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 3,762
- 4,516
Wapinzani wamelalamika sana juu ya matajiri kusomeshwa namba ikiwemo Kodi kubwa. Wakapewa majina yote mara ni wapiga dili, wahujumu, wanatumika na mabeberu.
Wakiongea, CCM huwapotezea muda kwa kuomba miongozo nk. Leo CCM wanalalamika biashara zinakufa sababu ya kodi, huku ni kupingana na falsafa ya mwenyekiti ya matajiri kuishi kishetani yafaa wajadiliwe kamati kuu ukiwa CCM uruhusiwi kulalamika.
Kodi kubwa uchochea ukwepaji na kupelekea makusanyo kiduchu.
Kina msukuma baada ya kupigwa mnada mali zao na bank akili zimerudi likizo hata nao wanawalaumu TRA ambao wao wanatii maagizo ya kufikia target.
Wakiongea, CCM huwapotezea muda kwa kuomba miongozo nk. Leo CCM wanalalamika biashara zinakufa sababu ya kodi, huku ni kupingana na falsafa ya mwenyekiti ya matajiri kuishi kishetani yafaa wajadiliwe kamati kuu ukiwa CCM uruhusiwi kulalamika.
Kodi kubwa uchochea ukwepaji na kupelekea makusanyo kiduchu.
Kina msukuma baada ya kupigwa mnada mali zao na bank akili zimerudi likizo hata nao wanawalaumu TRA ambao wao wanatii maagizo ya kufikia target.