CCM hawana Chao Jimbo la Iringa

CCM hawana Chao Jimbo la Iringa

Expedito Mduda

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2009
Posts
545
Reaction score
268
Kweli CCM imekwisha na iko ICU. Leo hapa Iringa toka asubuhi wanahamasisha mkutano wao lakini hakuna kitu.

Sasa hivi wamekodi boda boda lakini hakuna kitu. Watu wa boda boda wanazunguka mjini lakini wapi.

Jana watu kwenye mkutano wa CHADEMA watu walikuwa nyomi.
 
Kwa hiyo wingi au uchache wa watu ndiyo uhai wa chama?
The unseen is illustrated by the seen.
 
wamezidi kufuata nyuma ya CDM kwa nini? Kwanini wasiende Rukwa? Wanasubiri wakisikia chadema imepita mahali nao utasikia hao nyuma kama nani vile....... Igeni ya tembo.
 
Kweli ccm imekwisha na iko icu. Leo hapa iringa toka asubuhi wanahamasisha mkutano wao lakini hakuna kitu. Sasa hivi wamekodi boda boda lakini hakuna kitu. Watu wa boda boda wanazunguka mjini lakini wapi. Jana watu kwenye mkutano wa CDM watu walikuwa nyomi.


Hiki si ndio kile chama chenye mtandao mkubwa na zaidi ya wanachama milioni 5?
 
Together we can!bidii yetu na maamuzi yetu ndoitakayoiweka chadema madarakani!!!tuwe mabalozi wa mabadiliko,mimi na wewe!!!wewe,mimi na yule ndo tutakaoleta mabadiliko kwa kuchagua kilicho safi!!Peoplesss!!!!!!
 
siku za Nepi kama katibu wa uenezi zimefika ukingoni. Ni bora afanye uamuzi mgumu. Kwanza ni kipindi cha uongozi wake ndiyo watu wanahama chama kwa mamia.
worse enough anatumia kauli za hovyo na matusi as he did at Iringa today. shame on HER.
 
Marehemu CCM tulimpenda ila kukataliwa na wananchi kumempenda zaidi.Rest in peace CCM jiandae kuwa chama cha upinzani maana hata kabla hujawa chama cha upinzani tayari umeisha anza kazi ya chama cha upinzani kwa kucopy na kupaste kila kinachofanywa na CHADEMA.
 
shida wenzetu wa ccm kila siku wanatueleza yaleyale bila ya kuyatekeleza,ahadi kibao wazifunika sasa wananchi watapata wapi shauku ya kuwasikiliza
 
Jamani kwani hiki chama changu cha Magamba hakijawafanyia lolote jema? Mbona mnakipondea sana hiki chama changu? Nitaendelea kuwa mwanamagamba hata kama nitabaki mwenyewe kwenye hiki chama changu cha Magamba!
 
Back
Top Bottom