Expedito Mduda
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 545
- 268
Kweli CCM imekwisha na iko ICU. Leo hapa Iringa toka asubuhi wanahamasisha mkutano wao lakini hakuna kitu.
Sasa hivi wamekodi boda boda lakini hakuna kitu. Watu wa boda boda wanazunguka mjini lakini wapi.
Jana watu kwenye mkutano wa CHADEMA watu walikuwa nyomi.
Sasa hivi wamekodi boda boda lakini hakuna kitu. Watu wa boda boda wanazunguka mjini lakini wapi.
Jana watu kwenye mkutano wa CHADEMA watu walikuwa nyomi.