utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,815
Ccm imesema haiwezi kuwabembeleza ukawa, wala kuwaangukia warudi kwenye meza ya mazungumzo na hatimaye warejee kwenye bunge hapo mwezi augost. Aidha ccm imempiga stop samwel sitta kufanya mazungumzo na ukawa. Ccm imesema yanayofanywa na UKAWA ni utoto, na wao kama chama hawawezi kucheza ngoma ya kitoto, wala hawataruhusu serikali ya chama chake kucheza ngoma ya watoto....wakikua wataacha.