LOOOK
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,468
- 814
Hako ka kakobe hakakui? Tunaongea na mwenye kobe sio hako kakobe
Akili ndogo hupatikana ccm tu!
Hako ka kakobe hakakui? Tunaongea na mwenye kobe sio hako kakobe
Nyie endeleeni tu jamankwani mmesikia ukawa tunataka kubembelezwa??endeleen kutengeneza katiba yenu ya chama sisi tuta tengeneza ya wananchi.Ccm imesema haiwezi kuwabembeleza ukawa, wala kuwaangukia warudi kwenye meza ya mazungumzo na hatimaye warejee kwenye bunge hapo mwezi augost. Aidha ccm imempiga stop samwel sitta kufanya mazungumzo na ukawa. Ccm imesema yanayofanywa na UKAWA ni utoto, na wao kama chama hawawezi kucheza ngoma ya kitoto, wala hawataruhusu serikali ya chama chake kucheza ngoma ya watoto....wakikua wataacha.
Chama dola
Ccm imesema haiwezi kuwabembeleza ukawa, wala kuwaangukia warudi kwenye meza ya mazungumzo na hatimaye warejee kwenye bunge hapo mwezi augost. Aidha ccm imempiga stop samwel sitta kufanya mazungumzo na ukawa. Ccm imesema yanayofanywa na UKAWA ni utoto, na wao kama chama hawawezi kucheza ngoma ya kitoto, wala hawataruhusu serikali ya chama chake kucheza ngoma ya watoto....wakikua wataacha.