CCM hata hawajishitukii

CCM hata hawajishitukii

mkunga wa jadi

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2025
Posts
208
Reaction score
431
UCHAGUZI UWT MKOA WA LINDI

Tarehe 30-Julai-2025, Umoja wa Wanawake Tanzania- Chama Cha Mapinduzi- UWT Mkoa wa Lindi umefanya uchaguzi wa kuchagua Wabunge wa Viti Maalum- kuwakilisha Mkoa wa Lindi- katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Jumla ya Kura zilizopigwa- 1192
Kura zilizoharibika- 10
Kura Halali- 1182

Matokeo ya Uchaguzi;
1. Ndugu Kijakazi Yunus Mohammed - KURA 942

2. Ndugu Zainabu Rashidi Kawawa- KURA 492

3. Ndugu Zena Maulid Katambo- KURA 362

4. Ndugu Tecla Mohamedi Ungele- KURA 324

5. Ndugu Riziki Said Lulida- KURA 218

6. Ndugu Maimuna Ahmada Pathan- KURA 29

Msimamizi Mkuu wa Uchaguzi-
RC MTWARA- Col. Patrick Sawala

Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi-
DC Lindi- Victoria Mwanziva

KAZI NA UTU, TUNASONGA MBELE
 
Back
Top Bottom