CCM hamumtendei haki Dr. Benson Banna, muangalieni kwa jicho la huruma

Nkobe

JF-Expert Member
Feb 17, 2013
2,162
3,162
CCM hamumtendei haki Dr Benson Banna. Kama kuna wasomi waliojitoa ufahamu basi msomi huyu ni namba moja.

Pamoja na usomi wake lakini amehakikisha anatoa Argument kama mtu wa Darasa la saba ilimradi aisifu CCM.

Mfano juzi kahojiwa kuhusu kitendo cha yule mama wa kesi ya mirathi kumvaa Magufuli, badala ya Msomi huyu kuchambua hali ya mambo ilivyo hadi yule mama kafikia uhamuzi huo, lakini yeye akaishia kumsifu Rais kwa kumruhusu yule mama aongee.

Lakini pamoja na sifa hizi, bado CCM hawampi cheo, kila siku utasikia watu wanateuliwa na Rais kuwa wabunge au makatibu wakuu, lakini yeye kaachwa pembeni.

Tafadhari CCM muoneeni huruma msomi huyu maana kajidhalilisha vya kutosha kwa ajili yenu
 
CCM hamumtendei haki Dr Benson Banna. Kama kuna wasomi waliojitoa ufahamu basi msomi huyu ni namba moja.

Pamoja na usomi wake lakini amehakikisha anatoa Argument kama mtu wa Darasa la saba ilimradi aisifu CCM.

Mfano juzi kahojiwa kuhusu kitendo cha yule mama wa kesi ya mirathi kumvaa Magufuli, badala ya Msomi huyu kuchambua hali ya mambo ilivyo hadi yule mama kafikia uhamuzi huo, lakini yeye akaishia kumsifu Rais kwa kumruhusu yule mama aongee.

Lakini pamoja na sifa hizi, bado CCM hawampi cheo, kila siku utasikia watu wanateuliwa na Rais kuwa wabunge au makatibu wakuu, lakini yeye kaachwa pembeni.

Tafadhari CCM muoneeni huruma msomi huyu maana kajidhalilisha vya kutosha kwa ajili yenu
...mbona anaingiza noti nzuri tuuu pale UDSM, ni mhadhili huyu mbaba so usiwe na wasiwasi wew subilia tuu akifika umri kuanzia miaka 55 utasikia ni mbunge wa kuteuliwa maana bado aba toa wanazuoni wa kada mbalimbali...
 
We jamaa umenichekesha kwa ubunifu wako. Nimemkumbuka jamaa mmoja alikuwa na wazazi hawajaenda la saba basi dingi alikuwa ana mshiko ingawa mshamba basi jamaa akikaa mwezi anarudi nyimbani kuomba hela eti ameibiwa bansen burner, mara eti amevunja laboratory basi dingi kwa kutojua anatoa hela tu.
Hebu tupe jina lingine tuendelee na weekend.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom