Mm nawaapia ccm kama co wahongaj wajarb kuahirsha mkutano wao kama ukawa ili tujue wanaofka n kwa mapenz yenu cc tungekua tunahonga ingekua ngum kuahirsha mkutano kama nyie coz tungeogopa hasara ila n mahaba ya wa tz kwa ukawa
Mlivyo na mihela isiyo na kazi kwani kwenu shida kurejesha umati huo upya? Sisi mipango yetu uhakika. Na kwa nini tuahirishe? Sisi hatuigizi kama nyinyi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.